Dr Tulia Ackson Miaka yote aikuwa wapi?

mkimpa ubunge huyu dada, nitawadharau sana wanyakyusa.
Nilimuona jana kwenye tv na yule mwingine S. H. Amon wakihamasisha kitu. Kilichonichekesha ni Amon kusema eti "elimu, elimu, elimu" ndio nikajua hawa jamamaa hawawezi kueleweka mpaka wakiwekwa benchi!
 
nakumbuka kukusoma huku ukitangaza nia. au ndio kusema mpinzani wako kakuzidi kete? pambana kama unaweza badala ya kutulilia sisi.
 

Umesema vizuri Falema. Mwaka fulani kanda ya Ziwa wanasiasa kadhaa waliwashauri wananchi wa Jimbo moja wamchague ubunge msomi wao mmoja mtu wa Kimataifa hivi huenda siku moja atapata nafasi moja ya juu nchini. Huyu msomi alikuwa ameoa raia wa kigeni. Wakakataa kwa sababu hiyo. Wakampiga chini wakachagua mbunge ambaye kama alisema kitu Bungeni basi ni mara moja. Walijuta. Miaka mitano hakuna maendeleo. Acha watu wa kwao Mhe. Naibu Spika wapime wenyewe. Usijaribu kuwarubuni na wewe pia (mtoa mada wa mwanzo - Erthy). Ushauri tu kwa shemeji zangu wa Kandete, Mwakaleli, Isange na Rungwe yote.
 
Kutumia ngoma za asili ili kupata mteremko wa ubunge ni sawa na kuwadhalilisha watu wa Rungwe .
 
Time will tell.ila anachamsha mji amefanya mambo mengi,kikubwa kama ana nia ya dhati na jimbo lake.
 
Young man, get a life...inakusaidia nini kujenga chuki kwa Dr. Tulia? Amekwambia ana lengo la kugombea ubunge? Bavicha mbona mna roho mbaya hivyo? Hutaki na hata hupendi utamaduni ngoma zenu zipate zipate mtu wa kusambaza kwa ufadhili?
 
nakumbuka kukusoma huku ukitangaza nia. au ndio kusema mpinzani wako kakuzidi kete? pambana kama unaweza badala ya kutulilia sisi.
Ni kweli nimetangaza nia lakini si Rungwe , mimi nimejipanga kumuondoa Nkurunzinza Mwakyembe Kyela .
 
Shurti asigombee ubunge ili nia yake iendelee kuwa njema
 
Sauli na mwambigija walikwina pia? Kipindi wanaelezea matatizo ya jimbo la rungwe na huku wakiwemo siku zote wanaona.walikwina?
Unauliza tu ! Hao unaowasema hapa wanaishi siku zote Rungwe na wanashiriki hata kucheza hizo ngoma miaka yote , kosa la Sauli ni kujiingiza ccm , atajutia milele ! Ni heri angejikalia kando tu .
 
Unauliza tu ! Hao unaowasema hapa wanaishi siku zote Rungwe na wanashiriki hata kucheza hizo ngoma miaka yote , kosa la Sauli ni kujiingiza ccm , atajutia milele ! Ni heri angejikalia kando tu .
Hahah wapi wewe hao waheshimiwa ulikula nao,kabla ya wao kutangaza nia ama kuanza kampeni? Yuko wapi saiv mzee wa upako,mbona hatumuoni tena saiv?
 
Hahah wapi wewe hao waheshimiwa ulikula nao,kabla ya wao kutangaza nia ama kuanza kampeni? Yuko wapi saiv mzee wa upako,mbona hatumuoni tena saiv?
Utamsikia wapi na Magufuli anaogopa siasa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…