Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
Labda anapiga sana show...apunguze matumizi pia
Mzee Slaa yuko salama ki afya naamini na mazoezi anayafanya si mlevi na mla hovyo anatumia muda wake mwingi sana kusoma vitabu .
Huu ushauri naomba uwafikie pia vigogo wa polisi. Wanatia aibu ni mitumbo yao!
Hivi kama huna kitu cha kupost kwa nini usisome za wenzio ukajifunza vitu vya maana kwa akili yako kidogo kabisa kama kweli unayo unadhani DR. hana mshauri wake wa masuala ya afya?? au unataka ale anenepeane kama kiti moto ndio ujue ana afya?? huwa siku zote tunapiga kelele do not tackle personalities always tackle situationnimesoma maisha ya mgombea urais wa marekani John MAccain'huyu jamaa hajabadilika tangu tulivyomwona kwenye uchaguzi miaka minne iliyopita yuko vilevile'namwomba sana DR slaa azingatie sana diet kwa sababu tunamwitaji sana 2015 aongoze nchi yetu'sijui kama anakunywa pombe lakini namshauri aache kabisa'vilevile aache kula red meat yaani nyama ya ngo'mbe'ale zaidi mboga za majani na ajiepushe na mambo yanayoweza kumpa strees''ni mawazo yangu tu jamani.
labda hana mtu wa kumpikia
unamaana Dr. anatumia supu ya mawe?
Angalau yeye anaonesha uzalendo kwa kutumia vya nyumbani kuliko zile suti za UK.
Huyu mzee tatizo lake konyagi mwitu.
Mzee Slaa yuko salama ki afya naamini na mazoezi anayafanya si mlevi na mla hovyo anatumia muda wake mwingi sana kusoma vitabu .
na mama josephine asiache kuwa anampa ile kitu roho inataka huyu lovely presdaa wetu 2015.Nalog off[/QUOTE]
Ampe ila kimpango sio kama wanaandaa filamu. Washawasha
CHADEMA sio ccm bwana, kwanini waende india wakati hospital wanazotibiwa watz zipo! CCM ni wakoloni wanapita tuu, wanajua siku zao si nyingi ndo maana hata mafua wanapelekana india kutalii.Wazo zuri lakini huwezi kuzuia uzee!
Chama kinatakiwa kimuangalie wameshindwa hata kumpeleka India kutibiwa mkono, kwa mabingwa wa mifupa