Dr SLAA: Wana TABORA mtuunge mkono


La msingi hapa nikuwaambia wanaigunga Rostam Aziz kaonewa. Ufisadi anaotuhumiwa ulimhusisha hata JK,familia yake,viongozi karibu woote wa CCM. Sasa ni kwa nini Rostam Aziz afanywe mbuzi wa kafara. NEC yao inawatuhumu watu watatu tu. Mbona inawaacha vigogo wote walionufaika na EPA. Je na wakurugenzi wa Halimashauri ambao wamefisidi fedha kwenye miradi yote ya maendeleo hao sio mafisadi? Fisadi ndani ya CCM ni hao watatu tu?
 
Wale wazee niliowaona jana si wa kupigia kura CDM, ningependa kujua roughly vijana ni asilimia ngapi ya wapiga kura,
 
kwanza tunatakiwa kujua kuwa last election ra alisimama na nani na kujua perfomance ya chadema katika hilo jimbo last election
 
Wala asijulikane kwa sasa kama niwa Cdm mana hawa Magamba hawatabiriki hata chembe moja wasijemuhujumu huyo mtu,maana hawa ni wazee wa fitna
 
Nafuatilia na kwa mtindo ule ule, mpaka itakapotangazwa kuwa jimbo la igunga liko wazi, tutakuwa na picha ni mtu gani anatakiwa pale kuwa mbunge mpya.
 
Rost-ham ni mzawa wa Tabora eeeee,ni mnyamwezi????????
 
Mkuu unaelewa unachokisema? Kuna Wanyamwezi wa Dakama (Tabora) na Wanyamwezi wa Sukuma (Shinyanga na Mwanza). Sasa sijui kama ulielewa ulichokua unaandika.

Jina lako sawa linaonesha na wewe ni Msukuma (sitaki kukuita Mnyamwezi wa Sukuma kama unavyotaka kunilazimisha niamini). Kwa taarifa yako haya ni makabila mawili tofauti ingawa wanasikilizana, labda kama umesoma yale masomo yetu ya kuimba mashairi utusaidie historia fupi ya haya makabila mawili (unayotaka kutuambia kuwa ni kabila moja). Tunachokifahamu watu tunaotoka Mwanza ni kwamba Sukuma ni Kaskazini na Dakama ni Kusini, hivyo ningekuelewa kama ungesema kuna Msukuma wa Sukuma na Msukuma wa Dakama (Kwa maana ya Mnyamwezi).

Hivyo niliposema kuna Wasukuma na Wanyamwezi nilitaka kuweka msisitizo kwamba hayo ni makabila mawili tofauti. Nenda hata sasa hivi huko Tabora, Mwanza na Shinyanga utasikia hivyo hivyo wala hakuna kitu kinaitwa Mnyamwezi wa Dakama au Mnyamwezi wa Sukuma (Shinyanga na Mwanza kama ulivyosema). Pole sana kama umekaririshwa!!
 
Reactions: Nzi
Kwa hiyo Igunga hawapendi ukweli bali wanapenda kuongopewa?! Jipange upya mkuu una mapungufu ya kimantiki kwenye hoja zako.
 
Go Dr. Every single penny counts! ( i don't really mean about money) wakti ndio huu na jimbo hili letu! Change will come from us NOT them! what a prospect!
 
Wanyamwezi sasa mseme basi. Enough is enough hakuna kumlilia fisadi ambae katufikisha paaaya san
 
That is a grandiose dream and CHADEMA should stop deluding themselves that they stand a chance of grabbing Igunga constituency. If at all they need to extend their popularity, they are obliged to expunge any sort of tribalism and religious inclination. CHADEMA's image has been badly spoiled by their tendentious attitude of embracing CHAGGA, making it appearing like a tribal clique.
 
hivi wana wa tabora esp igunga wanafikiri bila rostam hawataweza kupumua, au walikua wanalilia kofia, kanga na tshirt alizokua anawapa plus hizo buk 10. they need to be serious hawaoni hizi kashfa zilizomuandama. cdm please fill that vacant seat from chief wa mafisadi
 
tena wanamlilia mtu aliyetufilisi! Wametia aibu kwa kweli.[/QUOTE
kwetu igunga katujali, kama fisadi sawa tu mana ufisadi wake umeleta maendeleo, tuna zahanati kila kijiji, umeme, n.k
tutakukumbuka rostam
 

Well said! Lakini kua makini na historia zilizoandikwa na watu wasio wahusika wa kabila tajwa. Ni sawa sawa na historia potofu juu ya ukoloni iliyoandikwa na wakoloni.

Hapo penye nyekundu huoni kama umejichanganya na kukubali nilichosema?! Mimi natokea Kwimba, ninachokiongea ninakielewa na nina uhakika nacho. Ebu jaribu kutafuta wazee hapo wa Sukuma Land waweze kukupa undani wa historia hii.
 
Mbona muiran aliweza kuwa mbunge kwa miaka kibao? Sema waweke mislamu kwa vile TBR inawaislamu kibao!



CDM hazingatia udini-by the way, igunga haina waislamu wengi kama unavyofikiri.
 
asimamishwe pro SAFARI nahakika ilo jimbo litakuja upinzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…