Dr SLAA: Wana TABORA mtuunge mkono

Harufu ya ukabila!
 
Mtanisamehe bure lakini jana nimewadharau sana wana Igunga, kweli vya bure gharama!! na kwa mentality ile hakuna haja ya kupoteza fedha kwenye uchaguzi, wamuombe tu tajiri wao awatangazie Kibaraka wake atakayewaongoza wana Igunga kwa niaba yake.
 
magamba yatachelewesha huo uchaguzi yakisoma upepo na kama yakijiridhisha jimbo watalikosa,yataitisha uchaguzi mwezi september 2015
 
Sawa nimewasikia, kesho nna kikao cha halmashauri kuu dodoma ntafikisha suala lenu msijali.
 
ROST.... sio mnyamwezi bali ni mnyamhindi wa TBR.
 
Mwanangu huyu Kanali ametoka wapi tena huku jamani, TBR hamna wese wajameni.
 
magamba yatachelewesha huo uchaguzi yakisoma upepo na kama yakijiridhisha jimbo watalikosa,yataitisha uchaguzi mwezi september 2015

mkuu unaijua sheria? Kuna sheria inayotufanya tuingie ktk uchaguzi mdogo bila kikwazo chochote. Iyo ya kuchelewesha ebu sahau kabisa.
 
mipango iwekwe mapema mkuu! Changes inahitajika igunga! Pamoja mkuu!!
 
AN ENGLISH MAN CAME TO TZ TRIED TO LEARN KISWAHILI....... WHEN HE WAS ABOUT TO LEAVE BACK TO HIS HOME LAND, HE WAS ASKED HOW MUCH HE HAD LEARNT. All he knew was.......Hakuna umeme , Umeme imerudi, Umeme imekatika, Umeme bado Kwanini hairudi? Umeme imerudi na imekatika, Umeme itarudi saa ngap?
 
Hivi ni lazima upuuzi wa NORTH uende WEST?
 
AN ENGLISH MAN CAME TO TZ TRIED TO LEARN KISWAHILI....... WHEN HE WAS ABOUT TO LEAVE BACK TO HIS HOME LAND, HE WAS ASKED HOW MUCH HE HAD LEARNT. All he knew was.......Hakuna umeme , Umeme imerudi, Umeme imekatika, Umeme bado Kwanini hairudi? Umeme imerudi na imekatika, Umeme itarudi saa ngap?
 
Sijakuelewa hapo kidogo ndugu mdau, ni North Mara au?
 
Kwa jinsi ninavyoona wananchi wa mkoa wa Tabora walivyokuwa wanampenda R. A, CCM na CHADEMA hawana nafasi tena Igunga kwa sababu zifuatazo;
CCM kumtosa mtu muhimu kwao tayari wananchi hawana imani tena na CCM
CHADEMA wao ni chanzo cha kujiuzulu kwa R. A, kwa kusema ukweli juu ya tuhuma za ufisadi, kwa hiyo kwa kutoa shutuma hizo wananchi wa Igunga hawatakuwa na hamu tena na CDM, labda vyama vingine vijipange.

Haya ndiyo maoni yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…