zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Wewe Raia uloleta mada huna issue huwezi kumfananisha Dr Slaa au kumpambanisha Dr Slaa na mwizi Lowasa,kwani hata watoto wa chekechea wanamfahamu Lowasa kuwa ni mwizi kashawishiwa na chama chake ajiuzulu kwa ufisadi sasa kama akigombea urais atakuwa na jipya gani wakati alishindwa kuisimamia serikali wakati alivyokuwa waziri mkuu???Kaka leta habari zingine sio hii
Taja alivyoiba lowasa