Dr. !
Mwachie huyo fisadi achague katibu mkuu wa chama anaye mtaka yeye ...... Eeheee si ameuziwa chama!
Ni kweli, kwa kuwa chama kimeuzwa ni heri wawaache wanunuzi wenyewe wachague Katibu wao wa kuandaa namna watakavyoiba wakiingia ikulu.
How come Dr Slaa awe mpambe wa fisadi Lowassa wakati akijua kuwa kundi hili linalotumia pesa za kifisadi kuingia ikulu linakwenda kwa ajili ya kutafuta kurudisha pesa walizotumia?yaan leo mwanachadema anyejiita mzalendo eti anawapigia kampeni akina Rostam Aziz, Karamagi, Change na wezi wengine warudishe pesa walizopoteza kuhonga ili Lowassa awe Rais?alafu unajiita una uchungu na nchi?shame