Dr Slaa ulimwelewa Askofu Gwajima?

Dr Slaa ulimwelewa Askofu Gwajima?

youngsharo

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,491
Reaction score
500
Nimeona headline kwenye gazeti la Sani
DR SLAA KUREJEA NCHINI, Kuzungumza na waandishi wa habari siku tatu kabla ya uchaguzi

sasa nakuuliza wewe Dr.W.Slaa hukumsikia au hukumuelewa Askofu Gwajima kuhusu onyo alilolitoa juu yako?

Mi nahisi uje kuzungumzia kitu kingine tofauti na siasa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
hofu yako ni nini akija kuzungumza.
Gwajima nindio nani hadi amzuie ndio maana Mkapa aliwaambia ukweli mkasema aliwatukana
 
Nimeona headline kwenye gazeti la Sani
DR SLAA KUREJEA NCHINI, Kuzungumza na waandishi wa habari siku tatu kabla ya uchaguzi

sasa nakuuliza wewe Dr.W.Slaa hukumsikia au hukumuelewa Askofu Gwajima kuhusu onyo alilolitoa juu yako?

Mi nahisi uje kuzungumzia kitu kingine tofauti na siasa mkuu.

Gwajima yupi? Au yule Askofu wa CHADEMA?
Maana CHADEMA imejaa wachungaji na sasa Askofu ndiye anayeongoza chama
 
Last edited by a moderator:
Dr Slaa hana jinsi maana keshakula za watu, kwa hiyo watamtumia vile watakavyo. Uchaguzi ukishaisha hii liability inatupiliwa mbali.....anakuwa sio relevant tena. Kifupi keshajifuta kwenye siasa za Tanzania, na watanzania wahukuru Mungu kamuumbua mapema asubuhi kwamba hakufaa kuwa rais wa Tanzania mtu anayeendeshwa na mkewe bila kuweka msimamo binafsi.
 
Dr Slaa hana jinsi maana keshakula za watu, kwa hiyo watamtumia vile watakavyo. Uchaguzi ukishaisha hii liability inatupiliwa mbali.....anakuwa sio relevant tena. Kifupi keshajifuta kwenye siasa za Tanzania, na watanzania wahukuru Mungu kamuumbua mapema asubuhi kwamba hakufaa kuwa rais wa Tanzania mtu anayeendeshwa na mkewe bila kuweka msimamo binafsi.

atakuwa amemiss mihogo tu, ngoja aje.
 
Gazeti la sani! Kweli kabisa tunajadili kitu kilichoandikwa na gazet la sani.
 
Viongozi wako kutwa kucha kwenye vyombo vya habari kulalamika. Dalili ya mvua......!

topic umeielewa au umecomment tu bora liende?
ndo maana kipaumbele chetu
1 elimu
2 elimu
3 elimu
kitapunguza mijinga mijinga kama hii.
 
Gwajima yupi? Au yule Askofu wa CHADEMA?
Maana CHADEMA imejaa wachungaji na sasa Askofu ndiye anayeongoza chama

Mafuriko ya Tanga ndo jibu la propaganda za kidini zinazopandikizwa na ccm
 
topic umeielewa au umecomment tu bora liende?
ndo maana kipaumbele chetu
1 elimu
2 elimu
3 elimu
kitapunguza mijinga mijinga kama hii.

Unapenda kulialia sana wewe. Hebu taja jinsia yako kwanza. Eti MMECHELEWA, hao viongozi wako waliowahi wanafanya nini?
 
Nikwelli maana Joséphine. Sasa hiv hataki kula tena mihogo vile vijisent walivyopewa vimeisha Josephine keshachonga dili lingine ili visent vipatikane
 
Back
Top Bottom