Dr. Slaa: tunaye Rais asiyependa kusemea matatizo ya wananchi

Slaa na yeye atoke nyuma ya pc yake aingie kitaa,we've to rule our own destiny
<br />
<br />
hivi, mnataka slaa afanye nini kipya? Au alie hadharani? Alikuwa bungeni akafichua mambo ambayo tusingeweza kuyajua. Katupa list ya mafisadi. Kipindi cha kampeni kazunguka nchi nzima kuhamasisha. Baada ya kampeni kazunguka tena nchi nzima. Bado yuko online. Kesho yuko arusha. Bado eti atoke nyuma ya pc? Which pc? Tusiwe wepesi wa kufyatuka
 
Kwa hiyo kauli aliyosema inatusaidiaje watanzania? Kwanini asingenyamaza kimya kama ndiyo hivyo? Tatizo watanzania tuna ushabikii wa kijinga. Mkipenda kitu basi mnakisifia tu hata kama ni kibovu. Na hilo ndo lililompa kura nyingi Kikwete mwaka 2005. Hata pale ambapo wanaomfahamu walisimama kusema the guy is Silly, watu hamkusikia wala kuelewa. Sasa ukijiuliza hapa unapinga nini, unaweza kujibu kitu gani? Kutuambia sisi kwamba Kikwete hana uwezo wa kusemea matatizo ya wananchi, kumemaliza vipi tatizo la mafuta, umeme, maji na mengineyo Lukuki? Think aloud guy. Usikurupuke tu.
Umasaburi noma sana..........Dr. kaandika kwenye wall yake ya foolsbook, ww unasema ni tamko!!!
Waliyoongea kambi ya upinzani jana bungeni kuhusu mafuta nukuu ya Zitto kabwe kwako wewe unaionaje?
 
Dr Slaa kwenye wall yake ya facebook anaandika hivi:
"Tunaye Rais asiyependa kusemea matatizo ya wananchi wake. Matatizo wanayoyapata Wananchi kwa sasa ni matunda ya uongozi mbovu usiojali maslahi ya wananchi wake".
Kwangu mimi hii si kauli ya msingi ya kutolewa na Dr Slaa. Sisi wananchi tunalijua hilo, na haisaidii kutueleza hayo hivi leo, tunataka atupe suluhu ya hayo matatizo na si blabla hizi ambazo hazina mshiko kwetu. Watu tunaumia halafu upinzani wanaleta story kama hizi? Ni nani atakayesimama, kuwasemea wananchi, kama chama kikuu cha upinzani ndo kinapiga porojo badala ya kutenda.

Updates:
Guys, hoja yangu hapa ni kwamba kwa nafasi yake Dr. Slaa ana nguvu kushinda hata ya maaskofu wanaompa rais masaa 24 atoe majibu na anatekeleza. Kwa nafasi yake Dr. Slaa hapaswi kuendeleza ngonjera za wakati wa uchaguzi wakati sisi tupo kwenye crisis. Kama katibu wa chama anao uwezo kupitia chama chake kuiagiza serikali itekeleze majukumu yake kabla yeye hajatumia nguvu ya umma. Inatusaidia nini kutuhubiria habari hizohizo day and night na sisi tunaendelea kuumia? Tunataka viongozi wetu watuonyeshe njia na si kuwa walalamishi kama sisi.

Mkuu huo sio wajibu wake yeye aliomba mmwajiri last year mkakataa so msubirieni huyo mlomwona anafaa
 
Ebu rudi tena tafadhali, slaa anasema !!tunaye rais!! i mean anajua kwamba tuna rais tanzania?
tafadhali paloko,
 
Lukolo hebu elewa kitu kimoja! katiba yetu inamruhusu na kumpa haki na uhuru kila mtanzania kutoa maoni yake ilimradi asiathiri sheria 415 za nchi hii! dr slaa ni mwananchi na kapost hiyo kitu kwenye ukurasa wake wa facebook kama raia wa kawaida! ndo maana hayo maneno hayapo kwenye ukutu wa chadema ni ukuta wa dr slaa! ALAFU kUSEMA HIVO HAJASDANGANYA NI KWELI AU SIO KWELI KAKA LUKOLO? HATA KIKWETE KUSEMA HAWEZI TENGENEZA MVUA ILI MABWAWA YAJAE NA UMEME UWAKE NI KWELI ILA KITUKO KINAKUJA, RAIS WA NCHI HUWEZI TOA STATEMENT KAMA HIZO! SUALA LA UMEME WA KUTEGEMEA MVUA LILISHAPITWA NA WAKATI KAKA,NOW ITS TECHNOLOGICAL ADVANCEMENT ERA BROTHER! KUNA UMEME WA GAS, URANIUM, UPEPO, GEOTHERMO, MAKAA YA MAWE, PL+, NA NYINGINE KIBAO SISI BADO RAIS WETU ANAWAZA KARNE YA 14 NA HIYO NDO AIBU KUBWA KWAKE NA CHAMA CHAKE! WANGEKUWA NI WATU WENYE +PLAN WANGEKUWA NA PROJECTS ZA MAANA SANA SEMA MITAZAMO YAO KAMA NDO YA KUTEGEMEA MVUA KAKA! DU HATA WEWE UNA MOYO KUTETEA MADUDUDU HAYA! ANYWAY KATIBA INAKURUHUSU!!LAKINI POLE SANA!!!
 
slaa wewe vp, rais ni mtendaji unataka amwambie nani matatizo ya wananchi? yeye anafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha anatuletea maisha bora, njoo na solution badala ya kila siku kuja na complaints na takwimu feki
Dr Slaa kwenye wall yake ya facebook anaandika hivi:
"Tunaye Rais asiyependa kusemea matatizo ya wananchi wake. Matatizo wanayoyapata Wananchi kwa sasa ni matunda ya uongozi mbovu usiojali maslahi ya wananchi wake".
Kwangu mimi hii si kauli ya msingi ya kutolewa na Dr Slaa. Sisi wananchi tunalijua hilo, na haisaidii kutueleza hayo hivi leo, tunataka atupe suluhu ya hayo matatizo na si blabla hizi ambazo hazina mshiko kwetu. Watu tunaumia halafu upinzani wanaleta story kama hizi? Ni nani atakayesimama, kuwasemea wananchi, kama chama kikuu cha upinzani ndo kinapiga porojo badala ya kutenda.

Updates:
Guys, hoja yangu hapa ni kwamba kwa nafasi yake Dr. Slaa ana nguvu kushinda hata ya maaskofu wanaompa rais masaa 24 atoe majibu na anatekeleza. Kwa nafasi yake Dr. Slaa hapaswi kuendeleza ngonjera za wakati wa uchaguzi wakati sisi tupo kwenye crisis. Kama katibu wa chama anao uwezo kupitia chama chake kuiagiza serikali itekeleze majukumu yake kabla yeye hajatumia nguvu ya umma. Inatusaidia nini kutuhubiria habari hizohizo day and night na sisi tunaendelea kuumia? Tunataka viongozi wetu watuonyeshe njia na si kuwa walalamishi kama sisi.
 
Wenye mamlaka kisheria kutuletea solutions ni hao makj na jamii yake wameshindwa! Hata dr wa ukweli akisema nani atafanya hali dola mnamiliki nyie, chama tawala ni nyie na nchi inaendeshwa kwa ilani ya ssm? Ni mambo mangapi mazuri yamesemwa nani kayaimpliment? We kweli karrykit! Unatumia masaburi kufikiri nini? This is the home of great thinkers sawa makalikiti????
 
Kwa hiyo kauli aliyosema inatusaidiaje watanzania? Kwanini asingenyamaza kimya kama ndiyo hivyo? Tatizo watanzania tuna ushabikii wa kijinga. Mkipenda kitu basi mnakisifia tu hata kama ni kibovu. Na hilo ndo lililompa kura nyingi Kikwete mwaka 2005. Hata pale ambapo wanaomfahamu walisimama kusema the guy is Silly, watu hamkusikia wala kuelewa. Sasa ukijiuliza hapa unapinga nini, unaweza kujibu kitu gani? Kutuambia sisi kwamba Kikwete hana uwezo wa kusemea matatizo ya wananchi, kumemaliza vipi tatizo la mafuta, umeme, maji na mengineyo Lukuki? Think aloud guy. Usikurupuke tu.
Acha kuchemka kaka/dada kwani mtu kutoa maoni ni dhambi? Mwache Dr wa ukweli ana uwezo na akili kuliko wanaccm wote wasioelewa kinachoendelea, Jk ni part ya hayo matatizo, hawezi kusema chochote, kwani yupo ikulu kwa sababu ya visima vya mafuta.
 
Back
Top Bottom