kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
sisi watanzania asilimi 64 % tuliokuchagua kuwa Raisi wetu wa Tanzania tunakusubiri uje viwanja vya uhuru. kukuona tu kutatupunguzia makali ya athari zilizotukuta walau kisaikolojia na kutufariji tukiamini siku si nyingi utaingia ikulu utuepushie na hii balaa / maafa!!
usituache tafadhali! tunakulililia!
usituache tafadhali! tunakulililia!