chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Kwa Wilaya zilizoko remote area at least you can understand kwa sababu ya umbali wa vituo ila kwa zilizopo town mfano za Dar mpaka sasa mambo kimya hivi inakuaje
Eti wao wanadai vituo vimekuwa vingi sana kuliko miaka ya nyuma its nonses maana hata 2005 delaying tacts ilikuwa hivi hivi
Kuna haja ya our President CHADEMA kusema chochote walau kukemea hili maana nijuavyo mimi hii NEC bado ipo mikononi mwa CCM maana JK ndo aliyoichagua
Eti wao wanadai vituo vimekuwa vingi sana kuliko miaka ya nyuma its nonses maana hata 2005 delaying tacts ilikuwa hivi hivi
Kuna haja ya our President CHADEMA kusema chochote walau kukemea hili maana nijuavyo mimi hii NEC bado ipo mikononi mwa CCM maana JK ndo aliyoichagua