Dr Slaa; Tafadhali Pokea ushauri huu

Nadhani ili ni jukwaa la siasa,mleta mada uko sahihi kabisa! Cdm kwa kweli ikifanikia kutwaa wasomi wa kutosha,nchi itakombolewa! Huwezi amini cdm kwa kumbukumbu zangu ilikuwa na wanachama kama laki3 lakini ilipata kura zaidi ya mil2 baada ya Nec Structural vote adjustment! Hapa inaoneka kuwa 85%ya wapenda cdm si wanachama hai. Upande wa ccm wanachama walikuwa mil.3,520,000 lakini ilipata kura mil.4 baada ya Nec upward bonus! Je, kama hawa wangekuwa wana wa chama wa cdm hali ingekuwa vipi? Tafakari,chukua hatua!

Ndugu zangu,mko sahii isipokuwa kusema matawi,mashina yamepitwa na wakati mi nadhani utakuwa mtazama mbaya, kwa wakati huu taratibu zote za kuingiza wanachama na wakawa hai lazima zitumike cha msingi kuangalia ni njia ipi inafaa mahali fulani, ikiwa vyuoni, vijiweni, vijijini au hata ofisini, Asante!
 

Wanatakiwa kujifunza DEMOCRATIC wanavyofanya MAREKANI, Kwani OBAMA analist na CONTACT za wanachama, washabiki na wapenzi wake wote kiasi akitaka kuwasiliana nao ni swala la dakika tu.

Nashahuri CHADEMA wafanye hivyo na ni rahisi sana kwa wakati huu kwani CHADEMA ingeweza kuwa na DATABASE ya CONTACTS za watu wake na inakuwa rahisi kuwasiliana nao wote with few minutes.

Naunga mkono hoja japo umesahau kwmb c sehemu zote nchini zipo conected na mitandao ya simu,mi naona bora matawi yaanzie ngazi ya kijiji/kata na kwa sehemu zenye mawasiliano ya simu basi uongozi taifa uwe na namba za wenyeviti baadala ya wananchi.
 
Ni wazo zuri sana ni lazima kuanzia kwenye grass roots ili kuwapatia watu wote hasa vijijini ufahamu wa chama mbadala ambacho ni cdm
 
Wanaounga mkono waseme ndiyo....NDIIIIIYOOOOO!Wanaokataa waseme sio..sio!Wanaokubali wameshinda so Dr.Slaa inabidi kutekeleza ushauri wa kuwa na wanachama kuanzia ngazi ya vijiji sio tu wilayani na mikoani.Tanzania yetu bado haijaendelea kihivyo kiasi kwamba tutegemee uanachama wa mtandao.Asilimia kubwa ya wapigakura wako vijijini na hawana access yoyote ya teknolojia.Tuanzie vijijini katibu.
 
Umesema vema mkuu, kwa kuongezea hapo, Cdm ijipange mashuleni mpk vyuoni na ninawaomba walimu toka vyuoni ambao ndo wenye nafas nzuri ya kukaa na wanafunz kuanzia s/m mpk sec. wawaandae kwa kupandikiza fikra zinazojenga taifa hili. Waalimu wana nafasi kubwa ktk taifa hli kulifikisha mahala stahili.
 
Back
Top Bottom