Dr pole kwa mapambano ya kulikomboa taifa hili. naomba nishauri kupitia jf nadhani ujumbe utakufikia. si jambo jipya lilishasemwa sana ila nataka kujua hatua iliyopigwa. tunashauri kuhusu kufungua matawi ya cdm nchi nzima. kuna watz wengi wanapenda kujiunga na chama tatizo hawajui wapate wapi kadi. mtu ambaye ni mwanachama anakuwa responsible zaidi na kwa vile wanakuwa na vikao anapata nafasi ya kutoa mawazo yake. hawa ndio wanawahimiza watu kujiandikisha, hata kuwapitia majumbani wakapige kura na kusimami
https://www.jamiiforums.com/
https://www.jamiiforums.com/