Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Dr W. Slaa amesema hawezi kujibishana na Mbunge wa Maswa mashariki Mangale Shimbuda na akaongeza kuwa shibuda anauhuru wa kusema atakacho...



source magazetini

Mbona wale akina Shonza waliosema wayatakayo wamewajibishwa,Shibuda ni zaidi ya CHADEMA???!!!ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha !
 
Ujibishine na asie taka kubadilika kutafuta nini?

kama ni hivyo mkuu hana faida kwenye chama na hafai anapaswa kuondolewa kama walivyofanyiwa wengine wenye tabia kama zake,cham kinahitaji watu wenye kukisaidia kwa mawazo,na mambo mengine ya muhimu ili kukijenga!!!!!
 
katibu mkuu wa chama cha
Demokrasia na Maendeleo Dr W. Slaa amesema hawezi kujibishana na Mbunge
wa Maswa mashariki Mangale Shimbuda na akaongeza kuwa shibuda anauhuru
wa kusema atakacho...



source magazetini

lazima ashindwe kumjibu make slaa hana hoja huwa ni bingwa wa kuropoka
 
Mbona wale akina Shonza waliosema wayatakayo wamewajibishwa,Shibuda ni zaidi ya CHADEMA???!!!ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha !

unajua mbunge kuna wakati maneno yake akiongea analindwa na bunge hivyo lazima uwe makini sana na dr dr ni moja ya watu walio makini..kumchinja kobe inahitaji timing..
 
Never argue with a fool coz it will be difficult to differentiate who is the real fool. . . big up dr kwa kuliona hilo
 
Nadhani huu ni ujumbe kuwa Shibuda ajiendalie kuwajibishwa kwa vile hajatoa ushahidi wa madai yake. Ni mapema kujadili hatima ya huyu buda kwenye CDM. Kuna uwezekano akayafuata masalia mengi.
 
Shibuda hata akifukuzwa leo atabaki bungeni kwa mahakama ya nini kujiangaisha mwacheni apige kelele zake watu wanasonga mbele.2015 atarudi nyumbani kwake.
 
lazima ashindwe kumjibu make slaa hana hoja huwa ni bingwa wa kuropoka

angalia dunia itakucheka yaani dr slaa hana hoja za kumjibu shibuda, si kwamba kujibisha na chizi mwisho wa siku mtaonekana wote machizi..
 
Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo Dr w.Silaa amesema kuwa hawezi kujibishana na mbunge wa maswa magharibi Mkoa wa Simiyu ndugu John Shibuda.kwani mbunge huyo anauhuru wakuongea kitu chochote anacho kitaka.Ni katika vichwa vya habari vya gazeti la majira la leo.
 
unajua mbunge kuna wakati maneno yake akiongea analindwa na bunge hivyo lazima uwe makini sana na dr dr ni moja ya watu walio makini..kumchinja kobe inahitaji timing..

Naipenda CHADEMA hasa linapofika suala la kufanya mamuzi,hawana matat hata kidogo na hakuna kubembelezana,lakini najiuliza kuna nini kwa huyu Shibuda kwa sababu si mara moja,mbili,tatu au nne
 
angalia dunia itakucheka yaani dr slaa hana hoja za kumjibu shibuda, si kwamba kujibisha na chizi mwisho wa siku mtaonekana wote machizi..

umejibu vema,shibuda anataka mechi na dr slaa kwa malengo pengine ya maadui wa cdm
 
muweke dr upande mmoja na shibuda upande mwingine kama slaa hajakaa amezoea kuwafukuza vidagaa .zitto.shibuda hawez atakoma slaa anatakiwa kukakimya kwg hili.hongera kwa kusema ukweli dr
 
Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo Dr w.Silaa amesema kuwa hawezi kujibishana na mbunge wa maswa magharibi Mkoa wa Simiyu ndugu John Shibuda.kwani mbunge huyo anauhuru wakuongea kitu chochote anacho kitaka.Ni katika vichwa vya habari vya gazeti la majira la leo.
Aaaaaaah anamuogopa huyo
 
Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo Dr w.Silaa amesema kuwa hawezi kujibishana na mbunge wa maswa magharibi Mkoa wa Simiyu ndugu John Shibuda.kwani mbunge huyo anauhuru wakuongea kitu chochote anacho kitaka.Ni katika vichwa vya habari vya gazeti la majira la leo.

Majibu mepesi katika maswali magumu, yatamtokea puani huyu mzee, chezea SHIBUDA weye.
 
Back
Top Bottom