Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,889
Dr. Slaa ni FISADI MZINIFU...
Kapora mke wa mtu, na kamtelekeza mke wake Rose kamili, na watoto alio zaa nao...Dr. Slaa hafai, mchafu na hafai kuwa kiongozi sbb familia yake kaitelekeza, na Rose kamili hadi leo analaani, haamini babu wa makamo ya Slaa, kuacha familia ikiteseka, ana roho mbaya sana hiki kibabu...Upadre ulimshinda sbb ya hii tabia chafuu...!!!
CCM hawezi itoa madarakani, anaota nn, au wakati anaongea alikuwa na mzinifu mwenzake J...
Slaa sio kiongozi, hata kanisa lilimfukuza, hafai... kanisa la RC ndio mahala maadili ya ukweli yaliko...kama kanisa lilimshindwa, nani atamweza..!!? atuondolee usiku hapa...!!!
Fisadi ni mtu yeyote anayetamani na kupora mali za watu wengine ziwe kodi za serikali au wake za watu.Slaa ni fisadi alipora mke wa mtu! hana cha kuwaambia mafisadi! Wale wanapora hela yeye anapora wake za watu FISADI MKUBWA.
Si kweli kuwa kanisa lilimfukuza, aliondoka yeye mwenyewe kisha akaoa. Matatizo ya ndoa hiyo ni habari tofauti, kwani kudumu kwake kunawahusu wawili na wao ndio wanajua iliwashindaje. Kuoa tena si kosa ila kama aliyemwoa ni mke wa mtu basi mwenye mke ana haki ya kudai haki yake. Je, kachukua hatua gani?Dr. Slaa ni FISADI MZINIFU...
I
Kapora mke wa mtu, na kamtelekeza mke wake Rose kamili, na watoto alio zaa nao...Dr. Slaa hafai, mchafu na hafai kuwa kiongozi sbb familia yake kaitelekeza, na Rose kamili hadi leo analaani, haamini babu wa makamo ya Slaa, kuacha familia ikiteseka, ana roho mbaya sana hiki kibabu...Upadre ulimshinda sbb ya hii tabia chafuu...!!!
CCM hawezi itoa madarakani, anaota nn, au wakati anaongea alikuwa na mzinifu mwenzake J...
Slaa sio kiongozi, hata kanisa lilimfukuza, hafai... kanisa la RC ndio mahala maadili ya ukweli yaliko...kama kanisa lilimshindwa, nani atamweza..!!? atuondolee usiku hapa...!!!
Mkuu, mnyonge na anyongwe lakini hski yake ni shurti apewe. Huyu Mh - ambaye ni Dr la ukweli ni miongoni wa Wtz ambao wana aminiwa na Wtz walio wengi. Sasa hizo kashifa unazomwelekezea nina hakika unakumbukumbu nzuri tu kuwa aliwahi fikidhwa mahakamani kwa kosa la kupora mke wa mtu na hiyo ilikuwa kabla ya uchaguzi wa 2010. Ombi langu naomba wakumbushe Wtz ni nini hukumu iliyotolewa dhidi ya tuhuma hiyo?.Na huko kanisani unakosema walimshindwa, sema bayana kama aliwahi kutwa na kosa la kijinai mahakamani na kuhukumiwa? Nje ya hapo utakuwa ni mfuwasi wa siasa taka na wote wa aina yako mtakuwa na matatizo makubwa ya kudadavua mambo kama siyo unafiki tu kwa vile ndy wale wale wachache mnao katafuna haka kasungura kadogo ambacho kwa miaka zaidi ya 50 hakakui.
Na kama tutaendelea na imani hizi basi tutaendelea kupiga nark time hadi YESU atakaporudi. Nchi za wenzetu zinaendelea kwa vile viongozi na waongozwa wote wanadhamira za dhati za kupiga hstua mbele kama taifa- hayo maendeleo waliyo nayo ni kwa sababu people are living and working into one spirit as a nation and not individually.
Au la basi tuaminidhwe kuwa Wtz tumerogwa na mchawi wetu si mwingine bali ni waliojo madarakani. CHANGE IS A MUST IF WE REALLY NEED ECONONIC TRANSFORMATION. To most of Tanzanians we need people like Dr. Slaa or anybody from UKAWA who would be a real visionery leader to reshape this nation for steps forward not otherwise. Jamani tunachekwa sana huko nje maliasiri ziko bwelele lakini bado hazisaidii taifa kusonga mbele.
Kufuatia uvumi kuwa Edward Lowassa waziri mkuu aliyeng'oka kwa kashfa za ufisadi kutaka kuhamia UKAWA, Dr. Willbrod Slaa katibu mkuu wa CHADEMA amesema kuwa hayupo tayari kula sahani moja na mafisadi.
Akijibu tuhuma hizo Dr. Slaa amesema wazi kuwa Chadema na UKAWA hawapo tayari kupokea mafisadi kwani itakuwa ni kinyume kabisa na dhamira ya UKAWA ya kuwatumikia watanzania wanaotegemea mabadiliko makubwa.
"Watanzania wapo tayari kwa mabadiliko na wameonyesha nia ya dhati kutuunga mkono, hatupo tayari kuchafuka na mafisadi" amesema Dr. Slaa
Kutokana na hali halisi ilivyo mdani ya CCM, chama hicho kinatarajiwa kukumbwa na mgogoro mkubwa kutokana na msuguano mkali wa makundi mawili makubwa yanayowania urais huku kundi hasimu na Lowassa likiungwa mkono na rais Kikwete.
Lowassa tayari ametoa hotuba huku akiainisha vipaumbele vyake ambavyo vinaenda kinyume kabisa na ilani ya CCM mwaka 2015-2020 jambo linalohashiria kuwa ndani ya chama hicho hali si shwari.
Kwanini hawezi kutoka wakati keshakatwa ila kiasi fulani naungana na wewe kwa kiasi flani kwani akitoka atapata shida sana kwa jinsi alivyokuwa mwizi lazima wamsurubu.lowasa hawezi toka ccm
Kufuatia uvumi kuwa Edward Lowassa waziri mkuu aliyeng'oka kwa kashfa za ufisadi kutaka kuhamia UKAWA, Dr. Willbrod Slaa katibu mkuu wa CHADEMA amesema kuwa hayupo tayari kula sahani moja na mafisadi.
Akijibu tuhuma hizo Dr. Slaa amesema wazi kuwa CHADEMA na UKAWA hawapo tayari kupokea mafisadi kwani itakuwa ni kinyume kabisa na dhamira ya UKAWA ya kuwatumikia watanzania wanaotegemea mabadiliko makubwa.
"Watanzania wapo tayari kwa mabadiliko na wameonyesha nia ya dhati kutuunga mkono, hatupo tayari kuchafuka na mafisadi" amesema Dr. Slaa
Kutokana na hali halisi ilivyo mdani ya CCM, chama hicho kinatarajiwa kukumbwa na mgogoro mkubwa kutokana na msuguano mkali wa makundi mawili makubwa yanayowania urais huku kundi hasimu na Lowassa likiungwa mkono na rais Kikwete.
Lowassa tayari ametoa hotuba huku akiainisha vipaumbele vyake ambavyo vinaenda kinyume kabisa na ilani ya CCM mwaka 2015-2020 jambo linalohashiria kuwa ndani ya chama hicho hali si shwari.