Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Wassira sijui anafanya nini pale ikulu. Mii siku nikikutana nae namtandika jiwe ili akafanyiwe plastic surgery awe handsome??
Wassira sijui anafanya nini pale ikulu. Mii siku nikikutana nae namtandika jiwe ili akafanyiwe plastic surgery awe handsome??
Wassira sijui anafanya nini pale ikulu. Mii siku nikikutana nae namtandika jiwe ili akafanyiwe plastic surgery awe handsome??
Wassira sijui anafanya nini pale ikulu. Mii siku nikikutana nae namtandika jiwe ili akafanyiwe plastic surgery awe handsome??
Whaat?
who will be a fool at the end?
Inawezekana Dr Slaa ana madhaifu mengi kama walivyo binadamu wengine. Ila sisi vijana tunataka change, na mtu anayeweza kuwa vehicle of change kwa sasa ni Dr Slaa. Hata kama hatakuwa kiongozi mzuri, kazi ya kuivunja system na kuijenga upya inatosha. Jeshini, mahakama, usalama wa taifa, polisi, magereza, uhamiaji, balozi na sekta nyingine, pandisha madaraka vijana wachapa kazi na kuwaondoa watu waliowekwa kwa vile watoto wa fulani. Ondoa mizee conservative inayokwamisha maendeleo, weka vijana wazuri.Hilo tu linatosha.
Kwangu mimi hizi zote ni kampeni tu na hata DR.SLAA naye anajamba kwa mdomo tu... I hate politics.
Baba Mzazi wa kamanda Nassari amekanusha kile ambacho
alichosema wassira ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM
alisema kwamba mgombea ubunge wa Chadema,Joshua Nassari
hafai kuwa mbunge wa jimbo hilo kwa kuwa ni kijana mkorofi na
mara kwa mara baba yake mzazi amekuwa akimsihi kuachana na
ukorofi tangu wakati akiwa chuo kikuu cha Dar es salaam.Alisema
kwamba baba wa mgombea huyo ambaye ni kiongozi wa dini
amekuwa akimsihi kuachana na ukorofi ikiwa ni pamoja na kuoa ili
aweze kutulia lakini cha ajabu Nassari amekataa.
Baba mzazi wa Nassari,kaeleza kuwa Nasari mtoto wake ni
mwadilifu toka yupo kibaha sec hadi chuo kikuu Dsm.
Je !!! Raisi mstaafu mkapa pamoja na Waziri wa serikali
kuendelea kuwadanganya wananchi wa meru,wataaminika vipi kwa
wananchi wa meru ??? inatufanya tujenge hoja hata ahadi
wanazotoa ukweli wake unatia shaka kabisaa ??
Unarudia makosa yale yale. Wassira amefanya personal attack badala ya kuuza sera, na wewe unalipiza personal attack badala ya kujibu/kuchangia hoja
Pale si ndio wageni wazito wazito huwa wanaanzia mara mabalozi, wafanyabiashara wakubwa,mara mtoto wa mfalme so ni moja tu ya vivutio kuonyesha jinsi tulivyo na rasilimali nyingi.
Sio kwa watanzania wote acha kutusemea, acha tuamue mwenywe ni yupi anatufaa
Nyumba ya milioni 30 yaani nayo unaiona ni nyumba?...Aiseeeee! then bado unaajiliwa na CHADEMA kubishana humu JF.