security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
NINA MASHAKA NA UPEO WA Dr SLAA,,!!
Leo vyombo vya habari vimeripoti kuwa Dr Slaa anamlaumu Katibu Mkuu wa CCM kutaka kuhujumu mwenendo wa Kesi ya rufaa ya Tundu Lisu kwakuweka wanasheria makini kuhakikisha Lisu anashindwa kesi hii,,!!
Kwanza anachokifanya dr slaa nikuingilia uhuru wa mahakama kwakujadili kesi iliyoko mahakamani,,huu ni uhuni na uvunjifu wa sheria amabo sikutegemea kiongozi wa juu wa chama kufanya.!
Pili mtu yeyote mwenye kesi mahakamani ana haki yakuomba msaada wakisheria kama anahitaji bila kujali msaada huo anupata kwa nani?awe ni Kinana au Mwanakijiji kutoka Singida,,hivyo walalamikaji kama wameomba msaada wakupatiwa mawakili sheria haikatazi,,!
Tatu,tumeshuhudia kesi nyingi za rufaa ambazo chadema wameshinda,,Arusha,Ubungo kwa uchache wake lakini viongozi wa chadema walikuwa wa kwanza kuisifu mahakama iweje leo wakose uvumilivu nakuiacha mahakama ifanye kazi yake?mbona CCM haikulalamika kwenye kesi chadema walizoshinda?
Nne,,Kinana ni kiongozi makini,hajawahi wala haitatokea akafanya upuuzi wa namna hii,,kama dr slaa anaushahidi na anacho zungumza ni vema akakiweka hadharani badala yakuwahadaa watanzania anapoona hali ya kesi inambana Lisu,,!!
Mwisho,,Ushauri wangu kwa huyu babu,Kinana siyo saizi yako utapasuka mapafu ukitaka kushindana nae,,badala yakutunga uongo na majungu ungetumia muda huu kujenga chama chenu na kujifunza kutoka kwa CCM,,!!
Leo vyombo vya habari vimeripoti kuwa Dr Slaa anamlaumu Katibu Mkuu wa CCM kutaka kuhujumu mwenendo wa Kesi ya rufaa ya Tundu Lisu kwakuweka wanasheria makini kuhakikisha Lisu anashindwa kesi hii,,!!
Kwanza anachokifanya dr slaa nikuingilia uhuru wa mahakama kwakujadili kesi iliyoko mahakamani,,huu ni uhuni na uvunjifu wa sheria amabo sikutegemea kiongozi wa juu wa chama kufanya.!
Pili mtu yeyote mwenye kesi mahakamani ana haki yakuomba msaada wakisheria kama anahitaji bila kujali msaada huo anupata kwa nani?awe ni Kinana au Mwanakijiji kutoka Singida,,hivyo walalamikaji kama wameomba msaada wakupatiwa mawakili sheria haikatazi,,!
Tatu,tumeshuhudia kesi nyingi za rufaa ambazo chadema wameshinda,,Arusha,Ubungo kwa uchache wake lakini viongozi wa chadema walikuwa wa kwanza kuisifu mahakama iweje leo wakose uvumilivu nakuiacha mahakama ifanye kazi yake?mbona CCM haikulalamika kwenye kesi chadema walizoshinda?
Nne,,Kinana ni kiongozi makini,hajawahi wala haitatokea akafanya upuuzi wa namna hii,,kama dr slaa anaushahidi na anacho zungumza ni vema akakiweka hadharani badala yakuwahadaa watanzania anapoona hali ya kesi inambana Lisu,,!!
Mwisho,,Ushauri wangu kwa huyu babu,Kinana siyo saizi yako utapasuka mapafu ukitaka kushindana nae,,badala yakutunga uongo na majungu ungetumia muda huu kujenga chama chenu na kujifunza kutoka kwa CCM,,!!