Dr. Slaa ni Jembe

Dr Slaa ni Jembe hakuna wa kupinga hapa labda wale mazezeta wa lumumba wenye I'd kumi kumi kila mmoja.

Dr Slaa ni kiboko ya mafisadi waTZ wote wanajua labda wale majuha wasiopenda kukubali kwa sababu ya maslahi binfsi

Samahani mkuu hivi dr slaa ameoa?
 
Hypocrites! Hypocrites!! Dr be yourself you are the greatest!! Some hypocrites like JK Mzee wa Visasi was not required to visit Mandela let alone talking about forgiveness!! Devils incarnation!!!!!!!!!!!! Hell!!
 
ni nadhani jembe haliwezi piga mzigo
 
Dr. Slaa ni jembe la CDM tu na wa ukanda wa kaskazini ..kwa nchi ni mmbado saaana....kama ni ligi basi Europa ligi sio Champions ligi...
 
Unasifu huku unageuka tena kama wa ccm bwana we vipi. Ukimaanisha kazi ni kazi, hao walioenda kuzika wamerudi na nini!!! Waache wafu wazike wafu wao.

 
Ameoa, hajaoa we jali kazi. Kazi ndo kitambulisho, unaweza ukaoa na ukwa unaibiwa na wanaume wenzio, sasa utakuwa umefanya nini; lakini kazi yako kwa wananchi ikiwa nzuri you will keep on helping them kwa matunda ya kazi yako leo na kesho.

We hujui Adam aliangushwa na mwanamke pale Eden ndugu??? Acha tabia ya kupenda wanawake hutafanya kazi
 
Unasifu huku unageuka tena kama wa ccm bwana we vipi. Ukimaanisha kazi ni kazi, hao walioenda kuzika wamerudi na nini!!! Waache wafu wazike wafu wao.
Nimekupata Kamanda! 2015 Ushindi Wetu... Pipooooooz ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…