Dr. Slaa ni Jembe

Mtasema saaana lakini Slaa ni jembe na kasi yake kama kangarooo ni tamu lakini chungu kumeza

Jamaa ana kasi ... no bureaucracy ... mkitaka fanya kitu e.g. ununuzi wa vitu vya chama (refer waraka wa ushind) mnasaini wenyewe easy very fast!!! (hakuna mambo ya vitengo vya ununuzi sijui nini ) very efficient.
 

Dogo , hebu sikia , DR SLAA HAUZI SURA .
 
Last edited by a moderator:
Dogo , hebu sikia , DR SLAA HAUZI SURA .

Sawa baba nimekusikia. in fact Dr. ingebidi a-record hotuba zake alafu ziwe zina-b-played kwenye mikutano kwa Sababu Dr. Slaa jembe hauzi sura.
 
Dr Slaa pambana na makaburu wa Tz;
 
Kwani gongo inatofauti gani na viroba vinavyouzwa huko mitaani , konyagi na wine kali au kwa vile vinahifadhiwa kwenye chupa alichisema dr slaa ni kujenga kiwanda gongo iweze kuboreshwa na kuuzwa km vinywaji vingine acheni kuukakalia ukweli
 
Timu ya kriket ya S. Africa ipo hapa nchini unataka ubinadamu gani wewe kazi ziko palepale.
Hata ile timu ya wasichana under twenty ilikuwepo hapa na ikacheza nasi ikatubamiza wakati msiba ulikuwa bado mbichi tu!
 

Mpe mchumbako au mkeo ndo utamjua kama ni jembe au siyo.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…