Jamaa ana kasi ... no bureaucracy ... mkitaka fanya kitu e.g. ununuzi wa vitu vya chama (refer waraka wa ushind) mnasaini wenyewe easy very fast!!! (hakuna mambo ya vitengo vya ununuzi sijui nini ) very efficient.
Kwani gongo inatofauti gani na viroba vinavyouzwa huko mitaani , konyagi na wine kali au kwa vile vinahifadhiwa kwenye chupa alichisema dr slaa ni kujenga kiwanda gongo iweze kuboreshwa na kuuzwa km vinywaji vingine acheni kuukakalia ukweli