Dr Slaa na Tanzania yenye neema...

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,707
Wakati anaamua kuachana na kazi ya kiroho,hakuiacha kwa kashfa mbaya,bali aliamua kufanya shughuli nyingine ya kuisaidia jamii,alipoingia kwenye siasa akagundua mambo hayaendi sawa,yeye kama Mtanzania na binadam amechukua jukumu la kuimbia jamii uovu unaotendeka,amewataja wanaoidhulumu jamii kwa majina,bahati mbaya hawajachukuliwa hatua zozote coz wanaotakiwa kushtakiwa ndo haohao washitaki,wamedai wamechafuliwa,wameshindwa kujisafisha bado wapo madarakani wanaendelea kuivuruga nchi,maisha ya Watanzania hayana mbele wala nyuma,asilimia 85 ya watanzania wanaishi bila umeme na kwenye nyumba za matope,Dr Slaa akawaambia hawa wanyonge kwenye kampeni za uchaguzi kuwa atawashushia gharama za ujenzi ili wanyonge hawa watoke kwenye matope,wezi wa haki za wanyonge wakamwambia anachofanya ni ndoto ya mchana,akawaeleza namna atakavyopunguza gharama hizo na pia atafanya elimu bure kutoka darasa la kwanza mpaka form 6 wakakosa hoja,wakadai ameiba mke wa mtu walipoona hoja hiyo haina mashiko wakamuibia kura akawaambia wazi wahusika,wameingia madarakani wamepandisha zaidi gharama za maisha,Dk Slaa amewaambia watanzania wasikubali kwa maandamano wamemuita mtu hatari kwa taifa,15% ya Watanzania ndo wana umeme,hata hao wachache wameshindwa kuwapa huo umeme,unakuwa wa mgao kila siku ili wauze magenereta yao,huduma za jamii wamezifanya kuwa za wenye hela yaani anasa,ukitaka kuwa na umeme,matibabu mazuri,maji safi ya kunywa,usafiri wa uhakika,shule nzuri n.k ni lazima uwe kwenye"sistimu"hii chafu au uwe mwizi wakukamate wajisifu wamekamata jambazi wakati na wao ni majambazi wakubwa,jamani nasikia kizunguzungu hivi nisaidieni
 
Wakati anaamua kuachana na kazi ya kiroho,hakuiacha kwa kashfa mbaya,bali aliamua kufanya shughuli nyingine ya kuisaidia jamii,alipoingia kwenye siasa akagundua mambo hayaendi sawa,yeye kama Mtanzania na binadam amechukua jukumu la kuimbia jamii uovu unaotendeka,amewataja wanaoidhulumu jamii kwa majina,bahati mbaya hawajachukuliwa hatua zozote coz wanaotakiwa kushtakiwa ndo haohao washitaki,wamedai wamechafuliwa,wameshindwa kujisafisha bado wapo madarakani wanaendelea kuivuruga nchi,maisha ya Watanzania hayana mbele wala nyuma,asilimia 85 ya watanzania wanaishi bila umeme na kwenye nyumba za matope,Dr Slaa akawaambia hawa wanyonge kwenye kampeni za uchaguzi kuwa atawashushia gharama za ujenzi ili wanyonge hawa watoke kwenye matope,wezi wa haki za wanyonge wakamwambia anachofanya ni ndoto ya mchana,akawaeleza namna atakavyopunguza gharama hizo na pia atafanya elimu bure kutoka darasa la kwanza mpaka form 6 wakakosa hoja,wakadai ameiba mke wa mtu walipoona hoja hiyo haina mashiko wakamuibia kura akawaambia wazi wahusika,wameingia madarakani wamepandisha zaidi gharama za maisha,Dk Slaa amewaambia watanzania wasikubali kwa maandamano wamemuita mtu hatari kwa taifa,15% ya Watanzania ndo wana umeme,hata hao wachache wameshindwa kuwapa huo umeme,unakuwa wa mgao kila siku ili wauze magenereta yao,huduma za jamii wamezifanya kuwa za wenye hela yaani anasa,ukitaka kuwa na umeme,matibabu mazuri,maji safi ya kunywa,usafiri wa uhakika,shule nzuri n.k ni lazima uwe kwenye"sistimu"hii chafu au uwe mwizi wakukamate wajisifu wamekamata jambazi wakati na wao ni majambazi wakubwa,jamani nasikia kizunguzungu hivi nisaidieni

Umenena vyema kwan ipo siku tutakombole toka haya magamba_dalil zimeanza kuonekana. Umesikia jk anasema uwongo ukisemwa sana watu huamin,bila kuutaja huo uwongo inalekea alikuwa ndotoni.Dr Slaa atadumu kunena yote waloyaficha watajulikana tu,kila kitu kitakuwa waz hata walifiche litajulikana tu.
 
hahaha, wewe lazima utakua umetumwa na kina Slaa. Unajua kwenye Siasa kuna ulaji mzuri kuliko kanisani?
 
Mbona twadanganyana kama watoto. Mbona yajulikana wazi kuwa Askofu wa nyumbani kwao alikataa kumpokea kwa sababu ya kashfa ktk ziara ya Pope miaka ya 90. Wadanganyeni watoto wa vyuoni na sekondari
 
hahaha, wewe lazima utakua umetumwa na kina Slaa. Unajua kwenye Siasa kuna ulaji mzuri kuliko kanisani?

Hujui unachozungumza,pia huju kuwa kama angekuwa na tamaa ya hela angebaki kwenye dini ambako hela zina ukaguzi mdogo,lakini hebu jiulize kwa moyo wa ukweli kama yanayosemwa na slaa ni uongo hebu nenda hata sokoni kaseme Kikwete ni mwizi kama hatujakusahau,wanamwogopa Slaa coz ana ushahidi,lakini wewe unawapenda watanzania wanaoishi kwenye nyumba za matope bila umeme wakiwa na hofu ya kupata maradhi ya kuambukiza kutokana na ufukara unaotokana mfumo mbovu wa uongozi?
 
nielezee kinagaubaga jinsi ambavyo elimu itakuwa bure mpaka form six.....tell me how,emperically!
 
nielezee kinagaubaga jinsi ambavyo elimu itakuwa bure mpaka form six.....tell me how,emperically!

Elimu itakuwa bure kwa kutumia vizuri rasilimali Tulizonazo ambazo kwa sasa zinatumika ndivyo sivyo,ila jibu zuri waulize chama cha magamba kuhusu kuifanya elimu bure kuanzia darasa la kwanza hadi form 4,waliamua kuwaambia Watanzania hivyo baada ya kumshkia Slaa na sera ya elimu bure,sijui kama watafanya hivyo maana hawa ni waongo sana
 
Siku zote palipo na ukweli uongo hujitenga na ndiyo maana uongo wa ccm wa zaidi ya miaka 40 unazidi kujitenga na ukweli unaofunuliwa na chadema unazidi kusambaa na kukubalika na watz wote
 
nielezee kinagaubaga jinsi ambavyo elimu itakuwa bure mpaka form six.....tell me how,emperically!

Elimu itakuwa bure kwa kutumia vizuri rasilimali Tulizonazo ambazo kwa sasa zinatumika ndivyo sivyo,ila jibu zuri waulize chama cha magamba kuhusu kuifanya elimu bure kuanzia darasa la kwanza hadi form 4,waliamua kuwaambia Watanzania hivyo baada ya kumshkia Slaa na sera ya elimu bure,sijui kama watafanya hivyo maana hawa ni waongo sana
 
Tatizo lenu nyie ni wepesi wa kudanganyika, ccm wamewadanganya kwa miaka 40 sasa hawa CDM wamekuja na staili yao, mwisho wake ni uongo uleule kwa njia ofauti.Elimu ya bure nyie mnaijua?
Sisi tunataka waache kelele za mikutanoni na wakawajibike bungeni, tatizo la CDM wanataka wao wakiongea washabikiwe sasa huko bungeni inakua ngumu na ndio maana hawaishi kuzira.
 
Hivi wewe Omr ni nabii mpaka uweze kujua mambo ya mbele?Unaitabiria chadema kuwa haitakuwa tofauti na ccm,nani amekuonesha hiyo future?Pia inamaana huoni kazi ya wabumge wa chadema bungeni japokuwa ni wachache?Acha mambo ya ajabu
 
nielezee kinagaubaga jinsi ambavyo elimu itakuwa bure mpaka form six.....tell me how,emperically!

Bila shaka wewe ni mmoja wa wanachama wa chama chenye Magamba...
Waliambiwa kodi ya kichwa ifutwe wakasema, serkali itapata wapi mapato...
Leo hii hakuna kodi ya kchwa na serikali bado ina mapato.....
Wakaambiwa elimu ya msingi iwe bure wakasema haiwezekani...
Leo hii elimu ya msingi ni bure na mambo megine yanaenda.....
Kama hayo yaliwezekana bila kupunguza gharama serikalini,
Basi hilo la Elimu bure mpaka kidato cha 6, bila shaka linawezekana!?
 
Tatizo lenu nyie ni wepesi wa kudanganyika, ccm wamewadanganya kwa miaka 40 sasa hawa CDM wamekuja na staili yao, mwisho wake ni uongo uleule kwa njia ofauti.Elimu ya bure nyie mnaijua?<br />
Sisi tunataka waache kelele za mikutanoni na wakawajibike bungeni, tatizo la CDM wanataka wao wakiongea washabikiwe sasa huko bungeni inakua ngumu na ndio maana hawaishi kuzira.
<br />
<br />
We upo tz ya wapi mbona elimu bure kwa sekondari halmashauri ya moshi inayoongozwa na cdm wameshaanza kulitekeleza hili mkuu...amka na uchukue hatua,ccm wameshaturudisha nyuma vya kutosha
 
<br />
<br />
We upo tz ya wapi mbona elimu bure kwa sekondari halmashauri ya moshi inayoongozwa na cdm wameshaanza kulitekeleza hili mkuu...amka na uchukue hatua,ccm wameshaturudisha nyuma vya kutosha

Bora uwaambie maana kuna watu wana akili na kumbukumbu kama samaki!
 
Mbona twadanganyana kama watoto. Mbona yajulikana wazi kuwa Askofu wa nyumbani kwao alikataa kumpokea kwa sababu ya kashfa ktk ziara ya Pope miaka ya 90. Wadanganyeni watoto wa vyuoni na sekondari[/QUOT

Mimi nimetoka Mbulu, acha kuwadanganya watanzania. Dr Slaa hana kashfa yo yote kanisani.
 
Mimi nimetoka Mbulu, acha kuwadanganya watanzania. Dr Slaa hana kashfa yo yote kanisani.[/QUOTE]

Nakushuktru ndugu ukweli uko wazi,angekuwa na kashfa wangeitumia kumchafua
 
hivi hili suala la kuamua kumlipa dr slaa mshaahara na marupurupu ya mbunge kwamba hakuamua yeye kwenda kugombea urais isipokuwa aliombwa maana yake nini?linatoa mwelekeo gani kwa chama,?na hili suala la ununuzi wa fuso kwa milioni mia nnee nalo limekaaje? huu siyo ufisadi mwingine tena wa ovyo zaidi kwa vile unaharalishwa kupitia katika vikao. hawa ni viongozi maslahi au tueleweje? kuna msemo unasema nyani haangalii kundule.watu wanacheza ngoma wasiyo ijua.kumbe dr hakuwa na dhamira ya kugombea urais kwa vile alijua akikosa maslahi yake ya ubunge angepoteza hivyo ikabidi apewe ahadi ya fidia! chaga development manifesto! pesa kwanza. inasikitisha ,inakinaisha,inaudhi nakuchefua! vyama hivi si sijui twende wapi? chama cha mabadiliko hakijazaliwa kwa mwendo huu. kila mtu akilipwa fidia za kisiasa mbona chama kita collapse! ikaragabao
 
Nampongeza mwandishi wa thread hii,mwenye macho haambiwi tizama.
 
Kura za Slaa hazitatosha hadi cdm wamuweka mtu neutral asiyefuata maagizo kutoka vatican period...si kila mtu ni mjinga
 
Back
Top Bottom