Hakika kitendo cha Dr Slaa na Polepole kuwashambulia viongozi wa ukawa tu na kuaacha viongozi wa ccm,act,tadea,chauma nk sio cha haki na wananchi wameshawachoka na kuwaongezea promo chama hicho.
Dr slaa ambaye hivi majuzi aliamua kuachana na siasa nashangaa bado yupo na ajawacha kama alivyosema.
Rai yangu nikuwaomba wawe balance na unbias wanavyozungumzia wagombea wetu wa urais.
Dr slaa ambaye hivi majuzi aliamua kuachana na siasa nashangaa bado yupo na ajawacha kama alivyosema.
Rai yangu nikuwaomba wawe balance na unbias wanavyozungumzia wagombea wetu wa urais.