mi nadhani hata kama atakwepa kodi still inajengwa hospitali sio hotel au appartment,hayo makampuni ya madini yanayosahamewa kodi ni bora zaidi kuliko anaetaka kujenga
hospitali,watz tuache unafiki.KEEP IT UP DR.[/QU
Two wrong don't make right...
Mkwepa kodi ni mhaini kama walivyo wengine. Halafu huu uzushi wa "WANATIBU BURE BILA KUTOZA FEDH" mnautoa wapi???
Kwa slaa kuzusha sioni ajabu ila washabiki wake ndio mnaotia kichefchef...
Hivi miongoni mwenu hakuna aliyewahi kuumwa au kuuguza mtu anayehitaji huduma CCBRT??? Kwa taarifa yenu hii ni moja ya hospital ghali zaid hapa town.
Huu mtindo wa TAX EXEMPTION ni uchochoro wa watu kukweoa kodi kupitia mlango wa dini na hivyo kujitajirisha(UFISADI).kwa nini hamjiulizi viongozi wa dini walivyocharuka pale serikali ilipotaka kufuta misamaha??!!!!!!
Wengi wenu hamna akili zq kujua hili