Dr Slaa: Mtwara wamepuuzwa!

huyu mzee anahangaika tu amechoka kuchochea suala la kuchinja sasa kahamia kwingine,swali dogo hivi mzee slaa na jk nani aliyejitenga na mungu,kwa sababu mzee slaa aliasi dini na kufanya uovu mwingi ndani ya kanisa sasa uko wapi uadilifu wa slaa.

ivi ile t-shirt yenye picha ya kikwete bado unaendelea kuivaa? Manake ilikuwa imeshachakaa sana vitundu kibao,tangu 2010? Nyinyi magamba wagum sana. Mwezio uliyemchagua kapiga suit ww umepiga t-shirt ya ccm du!
 
Wangeweza wangemtia hatiani. tatizo ni pakuanzia. mzee Mlema alikuwa anasomewa hadi mashitaka 18 wodini. ameishia kulamba miguu ya mafisadi. ee mungu mwepushe na balaa hilo mpendwa DR. Wetu.
 
hata mimi hujiuliza sana kwanini Newyork kumeendelea kuliko montana au Nevada.
 
Wewe ni kati ya wale wanaosikia jina la Dr Slaa mapepo yanalipuka eti!!!!!
 
Wangeweza wangemtia hatiani. tatizo ni pakuanzia. mzee Mlema alikuwa anasomewa hadi mashitaka 18 wodini. ameishia kulamba miguu ya mafisadi. ee mungu mwepushe na balaa hilo mpendwa DR. Wetu.
Ngoja amjue mkeo ndio utajua ni mpendwa au mchukiwa
 

Hana busara huyo Katekesta wenu! ufanye nao mazungumzo wanamtwara mara ngapi? na waelimishwe mara ngapi? na unaposema wasipigwe mabomu kwa nn wao wachome nyumba za watu binafsi? hao watu binafsi ndio waliowanyima gesi? We Silaha jibu kwanza haya ndio uendeleze propoganda zako za siasa zenu za matukio!
 
Kuishabikia serikali ya CCM automatically akili yako inadumaa!!

Comment za magamba zinalitia aibu Taifa!!!!
 
watu wametumia milipuko kulipua madaraja bado anataka wafumbiwe macho.?afterall polisi wanatumia mabomu ya machozi kipi cha ajabu hapo,teargas zinapigwa hata wallstreet .
 
mwenzio Ritz na ZeMarcopolo wameamua kurudi CDM baada ya kuona buku 7 haina thamani ya maisha ya watanzania wewe bado unahangaika lumumba?

Tatizo nyie vijana wa Bavicha mnapenda kuropoka sana kama kiongozi wenu Dr Slaa.

Watu wanachoma nyumba za makazi ofisi magari polisi kuwadhibiti Dr Slaa unasema wamepuuzwa lakini watanzania wapenda amani wameishakushtukia toka aseme watahakikisha nchi aitatawalika tena.
 
Last edited by a moderator:
Huu ni mtihani mwingine wa kifikra kwa slaa, hivi anadhani ataendelea kuwahadaa wananchi kupitia matatizo yao hadi lini??? Kwa hiyo anashangilia vifo vya askari na mali za umma zilizoharibiwa???

mtihani kama wa kuwakamata wezi wa epa?
 

Dogo huu ulio andika ni uchochezi kwa wananchi wa Mtwara
 
laana kutoka kwa nani..?

Hivi bado mnadhani slaa alishinda ... Znz kura hazikutosha.. Miji ya pwani hana umaarufu.. Labda kaskazini huko

laana kutoka kwa mungu! Unauliza kitu kilicho wazi! Mungu anaiadhibu hii serikali kutokana na wananchi waliodhulumiwa ushindi waliompatia dr. Slaa
 

Hatuwezi kufanya kama unavyotaka kauli ya Dr Slaa siyo yakuikalia kimya, wewe unafurahia nchi isitawalike.
 
Hiyo ya kusimama dakika moja ni mbwembwe ya kisiasa tu, wizi mtupu....unatoa kauli tata na za kichochezi halafu unawahadaa watu eti wasimame dakika moja, mbona umeliasi kanisa???


Weka mbali na wake za watu

Unataka Doctor mzima aanze kuzidumisha fikra sahihi (kwa maCCM) za mwenyekiti wakati facts zipo wazi kuwa mabavu hayatakiwi.

Top Down approach kwa maendeleo ya watanzania tena kwa manufaa ya viongozi wa CCM is coming to an end, na mtarudishwa kwenye mstari tu, mlijisahau sana nyie mkadhani hii nchi ni yenu na familia zenu.

Hamjishangai, kila siku mna mgogoro mara na CDM mara na waandishi wa habari, mara madaktari, mara wananchi; lazima mjitathmini haiwezekani makundi yote haya yakawa yanakosea tu na nyie ndio mpo right.
 
bado tunatafuta ushahidi wa kujilidhisha tutamkamata tuta mweka ndani akutane na rwakatale

Ushaupata huo ushahidi au bado unaendelea kupekua pekua masunduku yako kutafauta chochote cha kumtia hatiani Kiboko yenu.Waulize mabosi watakwambia Dr Slaa ni nani,Kama mabosi wako wenyewe wamemshindwa wewe mburumundu tu ndo utaweza?
 
huyu mzee anahangaika tu amechoka kuchochea suala la kuchinja sasa kahamia kwingine,swali dogo hivi mzee slaa na jk nani aliyejitenga na mungu,kwa sababu mzee slaa aliasi dini na kufanya uovu mwingi ndani ya kanisa sasa uko wapi uadilifu wa slaa.

Nyinyi watu mna akili ndogo sana! Watanzania wa leo hawahitaji Dr. Slaa kuona ujinga unaofanywa na Serikali. Wanaangalia wenyewe kwenye TBC na kujua nini cha kufanya na upuuzi unaofanywa na hawa viongozi waliopewa nafasi katika Serikali kwa kigezo cha ku balance dini badala ya uwezo wao wa kufikiri.

Waambie wana CCM wenzio haya: kwamba kuna eneo zaidi ya moja katika Taifa ambako watu wanafikiri kama wana Mtwara. Watu hawa hawatatumwa na DR. Slaa. Watajituma wenyewe, na polisi hawatatosha....
 
huyu mzee anahangaika tu amechoka kuchochea suala la kuchinja sasa kahamia kwingine,swali dogo hivi mzee slaa na jk nani aliyejitenga na mungu,kwa sababu mzee slaa aliasi dini na kufanya uovu mwingi ndani ya kanisa sasa uko wapi uadilifu wa slaa.
ndugu embu tumia akili uskurupuke tuu kma una hoja kaa kimya dr slaa akuhasi bali alijiuzulu kutokana na sheria za kanisa katholic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…