Chadema Diaspora
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 480
- 644
Ataunguruma kwani ye simba....?
All the best!
Mimi CCM damu, ila napenda huyu mzee achukue nchi kutoka kwa manyang'au yetu ya CCM wauza sembe. Nachoka kweli na hizi kashfa za kijinga ndani ya CCM. Kila la kheri CCM ziara yako marekani
Teh teh teh, kumekucha...Wewe ni muke ya muzungu?
Mwita Maranya, Tumaini Makene,
..nimeona Dr ana tatizo la mkono. It is better awe anatumia a hand free wireless mic wakati akihutubia.
..hiyo microphone inayoonekana hapo kwenye picha is what Dr.W.Slaa needs wakati akiwa kwenye mikutano ya hadhara.
Kuhusu hilo la kuongoza Taifa letu halikwepeki.
Ni simba asiyetetereka wa tanzania mwenye machungu na watoto wake (raia) kwa jinsi manyangau wanavyoliibia taifa hahahaahaha:target::target::target: