Dr. Slaa kuunguruma IGUNGA tarehe 22 Disemba,2013

Dr. Slaa kuunguruma IGUNGA tarehe 22 Disemba,2013

Vizuri sana mkuu.
Cha muhim zaidi ni dhamira moja, Ambayo italeta Mshikamano miongoni mwetu,Wenye vyama na wasiokua navyo, Ni nadra sana kwa watu kuukubali ukweli kuliko wanaposikiliza uongo, Taasisi hii pendwa Chadema, Imefika mahali sasa kwa ajili ya kuongoza Taifa, lakini watu wachache wanaingia kwa sababu zao,Na kukatisha dhamira na Malengo ya Taasisi hii, Ukombozi wa mara ya pili ni lazima, Na ukombozi huu hautatokea kokote isipokua Chadema, Taifa hili litanufaika kama kila mmoja wetu akiweka fikra zake katika kuikuza Demokrasia,
Tanzania kitu ilichokosa ni (Rully Power). CCM haina kabisa, Badala yake inafanya kazi kwa namna ya kuchezea utawala wa Kiraia, Ni muhimu tuweke dhamiri zetu kwenye Uchaguzi Mkuu unaokuja, Lakini Uchaguzi huo hatutapata tuliyotarajia kama,Hatuna tume huru ya Uchaguzi, Na habar zinazozidi kuenea ni kuwa Daftari la wapiga kura litafanyiwa Mchezo ili mradi Vijana wenye mrengo wa Mabadiliko wasipige kura,
ChademaDaima.

ndiyoooooooooooo!!!!!!!!!!!!
 
Katika mwendelezo wa Ziara za Kuimarisha chama (CHADEMA) katika kanda ya Ziwa na Magharibi kesho Dr. Slaa atahutubia mkutano mkubwa wilayani Igunga, kwa kuwa Igunga ni kitovu cha mageuzi katika Mkoa wa Tabora kesho Igunga hapatatosha kwani shamlashamla na maandalizi pamoja na ulinzi wa kutosha juu ya ujio huu wa kiongozi wa watu Dr. slaa yameishakamilika, Nataraji kuwepo kwenye tukio hili kwa hiyo tutapeana updates za kutosha juu ya nini kitakachokuwa kikiendelea bila kusahau mapicha.

dr slaaa waumbue hapo wapo wale lakini nakuaminia ikibidi wapewe vipeperushi
 
ndugu zangu wa Igunga ni bahati kubwa mno kutembelewa na DR SLAA .


ujinga huwa unaongezeka sambamba na mapenzi yanapozidi.
Saikolojia inaonyesha dhana yako na mapenzi ulio nayo unadhani kila mtu anashughulika na slaa kama unavyo taka, pole sana.

leo Mmejifunza nini kigoma?
 
ujinga huwa unaongezeka sambamba na mapenzi yanapozidi. Saikolojia inaonyesha dhana yako na mapenzi ulio nayo unadhani kila mtu anashughulika na slaa kama unavyo taka, pole sana. leo Mmejifunza nini kigoma?
Hakuna cha kujifunza kutoka Kigoma jambo la msingi ungejiuliza Zitto alikuwa kaenda Kigoma kama Mgeni au nyumbani?
 
Back
Top Bottom