kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
Katika mwendelezo wa Ziara za Kuimarisha chama (CHADEMA) katika kanda ya Ziwa na Magharibi kesho Dr. Slaa atahutubia mkutano mkubwa wilayani Igunga, kwa kuwa Igunga ni kitovu cha mageuzi katika Mkoa wa Tabora kesho Igunga hapatatosha kwani shamlashamla na maandalizi pamoja na ulinzi wa kutosha juu ya ujio huu wa kiongozi wa watu Dr. slaa yameishakamilika, Nataraji kuwepo kwenye tukio hili kwa hiyo tutapeana updates za kutosha juu ya nini kitakachokuwa kikiendelea bila kusahau mapicha.