Dr Slaa kutikisa Igunga leo

Dr Slaa kutikisa Igunga leo

Ataruhusiwa kufanya mkutano wa aina hiyo kweli wakati suala zima limo kwenye mchakato wa kukatiwa rufaa mahakamani?...just joking!

Kwa hakika Dr Slaa ameamua maamuzi ya haraka na yenye akili kama vile kipanga anavyokamata kifaranga cha kuku, hakuna kuremba mawazo, maana angesubiri jamaa wakate rufaa tayari asingekuwa na loophole hiyo, policcm wangembeba msobemsobe.
Nimegundua kuwa M4C ni kama EBOLA inaua ndani ya sekunde!

nimeipenda hii
 
da,huyu kamanda nimekubali,Mungu ampe afya njema na maisha marefu

xp
 
babaangu gamba ni gamba tu liwe kike ,kiume ,kijani achana nae ye yupo kazini posho ya nape kesha vuta ....wanatumalizia pesa zetu kwa kuhangaika na cdm,wana honga jamaa waachie ngazi uongozi wa cdm ..cdm wanajaza nafasi kwa bure .
unanikumbusha mbege nilipo kuwa moshi miaka ile ..nilikuwa napata kikombe pale kwenye ile baa ya masai kazaa mtoto sjiui bado ipo?

aiseee babaangu hiyo baa bado ipo ila mi huwa napata mbege pale mamsera ukinikosa hapo utanipata mwika au mkuu na mashati

kesho nenda ubungo kwenye ofisi za meridian nitakutumia mbege lita 10 waishwa mwanakwa
 
Hali ni mbaya kwa ccyemu mwaka huu. Wanapigwa bao mbele na nyuma. CDM wanacheza cross wananchi wanaingiza wenyewe gorini. Wela2, CDM juu3 zaidi.
 
Mungu hawezi kumwacha mdhalimu atawale milele.DR Tuko pamoja sana tena tunakuombea uzima.
 
Huyu Dr. Slaa la kitaifa kwa mabwepande, inafaa tumuongezee kaulinzi
 
Hii M4C ingeenda sanjari na kuwahamasisha wananchi kugomea sensa ili serikali ipate kuiona NGUVU YA UMMA :A S 27:

Kamanda Molemo tunashukuru kwa taarifa hii.
Piga kazi kiongozi wetu Dr. Slaa, watanzania bado wana imani kubwa sana na wewe kwa ajili ya ukombozi wa pili wa Tanzania.

M4C with no apology!
 
RITZ, hapa jamvini ni kama umebaki peke yako ,sasa nakupa ujanja fungua ID kama mbili hivi ili tuone walau sura tofauti kwani tumeshakuzoea mno mkubwa.

Marire uko vizuri hata mimi namshauri ritz(a) awe na id mbili kama tulivyonazo wengine ukila HATA BAN HUKU UNACHOMOKEA KWINGINE. MWACHE ABAKI PEKE YAKE MAANA HATA MASWAHIBA WAKE WAMEMWACHA
 
Usiwasemehe Watanzania jisemehe wewe na Pro-Chadema wenzako...nani ana imani na Dr Slaa.

Mi nilikuwa hapo muda si mrefu.
Wametupigia kelelr usiku kucha , mbaya zaidi nimeibiwa na hao vibaka wa CDM kupitia dirishani kwenye Gesti us Mwasonya.
Hivi ninvoongea naposhana na Dr Slas hapa Singida,.
Ngoja nikitoe mie
 
Mi nilikuwa hapo muda si mrefu.
Wametupigia kelelr usiku kucha , mbaya zaidi nimeibiwa na hao vibaka wa CDM kupitia dirishani kwenye Gesti us Mwasonya.
Hivi ninvoongea naposhana na Dr Slas hapa Singida,.
Ngoja nikitoe mie

Idiot.......
 
Piga kazi Dr. unajukumu kubwa sana endelea kupaa sisi tuko nyuma yako:flypig:
 
Back
Top Bottom