Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,889
- 32,289
RITZ, hapa jamvini ni kama umebaki peke yako ,sasa nakupa ujanja fungua ID kama mbili hivi ili tuone walau sura tofauti kwani tumeshakuzoea mno mkubwa.
ha haa haaa, mbona hiyo kazi ndio ya yenu nyie Pro-Chadema JF kila mmoja lazima ana ID zaidi ya 3 kama Tuntemeke yeye anazo 19.