Dr Slaa kutikisa Dar leo

Status
Not open for further replies.
Tumesha sema huju JF na kwengineko kuwa, CHADEMA Dar hamna lenu.

Ni vyema nguvu kubwa muielekeze vijijini, kwani Dar tayari wameshaikataa CHADEMA siku nyingi ingawa makao makuu ya chama yapo hapa hapa Dar.
Man, Chadema wanakusanya maoni ya watanzania kuhusu rasmi ya katiba mpya, tuwaunge mkono kwa hilo. Baada ya hapo, tuanze kutofautiana kwenye vitu vingine kama Big Results Now (BRN) na Movements For Change (M4C). Lakini kwa hili, tuwe pamoja ili tupate katiba nzuriii yenye kukidhi yale wengi wetu tunataka kuona.
 
Tumesha sema huju JF na kwengineko kuwa, CHADEMA Dar hamna lenu.

Ni vyema nguvu kubwa muielekeze vijijini, kwani Dar tayari wameshaikataa CHADEMA siku nyingi ingawa makao makuu ya chama yapo hapa hapa Dar.

mh, kabla ya operation sangara mlisema cdm haijulikani vijijini wanakubalika mijini tu. baada ya operation sangara na m4c mnadai tena cdm haijulikani mijini ni vijijini tu. mnajua kusahau sana
 
Tumesha sema huju JF na kwengineko kuwa, CHADEMA Dar hamna lenu.

Ni vyema nguvu kubwa muielekeze vijijini, kwani Dar tayari wameshaikataa CHADEMA siku nyingi ingawa makao makuu ya chama yapo hapa hapa Dar.
hivi john mnyika na Halima ni wabunge wa kigoma?
 

Mkuu Molemo mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Aikael Mbowe atakuwa wapi?
 
Last edited by a moderator:
Macho na Masikio yangu ni kuhusu hatma ya wale madiwani 8; Hili la Ukonga sina wasiwasi ndiyo majimbo yetu haya - Ni kuyakusanya tu 2015.
 
Mkuu Molemo mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Aikael Mbowe atakuwa wapi?

Kimbunga ni kwamba Mbowe yuko nyanda za juu kusini nadhani karibu kila siku unaona updates za Makamanda walioko huko na picha zinazotumwa na Tumaini Makene.Kama jana Mbowe aliweka historia Mbeya.
 
Last edited by a moderator:
Tumesha sema huju JF na kwengineko kuwa, CHADEMA Dar hamna lenu.

Ni vyema nguvu kubwa muielekeze vijijini, kwani Dar tayari wameshaikataa CHADEMA siku nyingi ingawa makao makuu ya chama yapo hapa hapa Dar.
Mkuu eneo ambalo chama kina wabunge wawili wa kuchaguliwa,na madiwani kadhaa halafu unasema hakikubaliki,kweli wewe ulipaswa upelekwe milembe!kaa ukijua Segerea,Ukonga,Kawe na Ubungo ni majimbo ya CHADEMA 2015,hayo yaliyobaki ndiyo tutayagombea!
 
Bila shaka kikos cha FFU ukonga makao makuu kitaamia huko kama alivyokuja mwaka 2010 pale pale kampala
 
Tumesha sema huju JF na kwengineko kuwa, CHADEMA Dar hamna lenu.

Ni vyema nguvu kubwa muielekeze vijijini, kwani Dar tayari wameshaikataa CHADEMA siku nyingi ingawa makao makuu ya chama yapo hapa hapa Dar.

haya .
 
Dar ndiyo sehemu pekee ambayo hawa buku 7 fc wanaitegemea kujikimu , kwa hiyo wakisikia Mkombozi Slaa anaingia lazima watoe Mapovu ya Kifafa .
 
Mkuu eneo ambalo chama kina wabunge wawili wa kuchaguliwa,na madiwani kadhaa halafu unasema hakikubaliki,kweli wewe ulipaswa upelekwe milembe!kaa ukijua Segerea,Ukonga,Kawe na Ubungo ni majimbo ya CHADEMA 2015,hayo yaliyobaki ndiyo tutayagombea!

Mkuu wangu mweleze huyo.Kuongezea tu mwaka 2010 jimbo la Temeke Chadema ilizoa zaidi ya kura elfu 20
 
aje tumcheke tu hana atakachotuambia dar tulishamchoka kitambo sana.
zaidi atakuana na watoto wetu wa shule za msingi.
 
Mkuu wangu mweleze huyo.Kuongezea tu mwaka 2010 jimbo la Temeke Chadema ilizoa zaidi ya kura elfu 20

Hata hiyo DAR yenyewe.....viti vyote vitachukuliwa na CDM yeye aendelee kumpiga ramli tu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…