Mwl Jk Nyerere(RIP) aliwahi kusema, urais ni mzigo haukimbiliwi. Na ukweli hiyo ndio sababu kubwa mwaka 1985 hakuna aliyeelezea nia yake ya kuwa rais. Mwinyi yeye aliirahisisha urais sana na wakajitokeza watu wengi sana kumrithi.
Kuna rafiki yangu nilikuwa nazungumza nae kwa simu ananiambia alikuwa na informal conversation na Dr Slaa jana akawa anamwambia kwa jinsi JK anavyoongoza nchi kishkaji kila mtu anajiona anauweza urais. Anasema usishangae wakajitokeza watu mia mbili come 2015 kuutaka urais maana hata diwani nae atataka awe rais. Alikuwa hamzungumzii Zitto lakini inaonyesha hata Zitto ameona kazi ile ni laini sana hata yeye anaweza!
Kuna rafiki yangu nilikuwa nazungumza nae kwa simu ananiambia alikuwa na informal conversation na Dr Slaa jana akawa anamwambia kwa jinsi JK anavyoongoza nchi kishkaji kila mtu anajiona anauweza urais. Anasema usishangae wakajitokeza watu mia mbili come 2015 kuutaka urais maana hata diwani nae atataka awe rais. Alikuwa hamzungumzii Zitto lakini inaonyesha hata Zitto ameona kazi ile ni laini sana hata yeye anaweza!