kakakuona40
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 300
- 52
CHAGA DEVELOPMENT MANIFESTO -CHADEMA, wenzenu wameanzisha chama kiwasaidie kimaisha! na nyie anzisheni vya kwenu!
hii hoja ya wachaga kila wakati ni vipi jamani? Mimi kila nikisiliza matangazo ya vifo radio one, matangazo mengi yanakuwa ya watu kutoka uchagani, au kaskazini( kilimanjaro, arusha) sasa hapa nako kuna upendeleo kwa hawa watu???
Umetumwa na mafisadi wenzako kuja kumchafua Dr slaa rais wetu wa moyoni na Vuvuzela Nape,umekwama,subiri mwaka 2015 uone tunavyochukua nchi yetu kutoka kwa mafisadi CCM.
Ndugu zangu,
Kila kukicha wachaga, wachaga, hahahahahahaaaaa katika nchi yetu kuna makabila ambayo watu wake waliona jua mapema, miongoni mwao ni wachaga, wahaya, wanyakyusa! Wakati wengine wakiwinda, kucheza unyago, au kuvua samaki pale baharini hawa wenzetu walikuwa shule walijifunza mengi ikiwemo biashara. Angalia dominants wa biashara hapa Tanzania baada ya wawekezaji ni makabila yapi. Katika ofisi nyeti angalia makabila yanayoziongoza. Sishangai kuwaona wakichangamkia hata fursa za matibabu wakati wengine wakibanana kwa wapiga ramli. Wakati umefika badala ya kupiga majungu we have to strive for opportunities available. Opportunities are not given but taken!
TandaleOne, hizo ni shutuma au majungu na umbea?