Aman Ng'oma
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 966
- 537
Unathubutu kusema kuwa vuguvugu la wananchi Mtwara kupinga gasi kwenda Dar es salaam ni matokeo ya M4C,una uhakika au kama kawaida siku zote ni watu wa kupenda sifa? Ngoma yoyote inayorindima mnataka kucheza hata kama steps zake hamzijui.Mnaishia kujisifu,mbona hamuendi huko kuungana na wananchi?
Hongera kwako Ustaadh Ilunga Hasan Kapungu, kazi yako imeonekana,wanaobisha watafute cd ya ustaadhi Ilunga akiwa Mtwara wakati akifafanua mfumo kristo na namna unavyofanya kazi.Kwanini Mtwara wamekuwa masikini.
Wake up you people dont rely on propaganda!!!
Hongera kwako Ustaadh Ilunga Hasan Kapungu, kazi yako imeonekana,wanaobisha watafute cd ya ustaadhi Ilunga akiwa Mtwara wakati akifafanua mfumo kristo na namna unavyofanya kazi.Kwanini Mtwara wamekuwa masikini.
Wake up you people dont rely on propaganda!!!