Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,344
- 9,845
Wadau na washika dau wa UKAWA hongereni kwa kazi nzuri na Kampeni zenye mafanikio na za kistaarabu mpaka hapa.
Dr.Slaa ni tatizo lililotegemewa na nishukuru tu kuwa limejionyesha mapema kutupa muda wa kutosha kujipanga.
Kwenye hii vita Dr.Slaa hayupo upande wetu tena na hao ambao hawako upande wetu wako kinyume chetu.
Dr.Slaa jana amezungumzia silaha na vita; the old man wants a war and let us give him one!
Tatizo la Dr. Slaa ni kama kidonda kilichojitokeza juu kwaajili ya ugonjwa ulio ndani so we should treat it topically and systemically.Tukioshe kidonda,tukifunge ila pia sindano, vidonge na hata drip ikilazimu ni muhimu kwa ugojwa ulio ndani.
Dr.Slaa awe sababu ya kutuimarisha na sio kubabaisha umoja huu.Viongozi wa CHADEMA wafahamu kuwa diplomasia na Slaa imeshashindikana so stop being naive and personaly I don't like suprises,so we take them on and give them a campaign they never see before!
Once again into the frey, into the battle we will always be proud of,live or die on this day!
Dr.Slaa ni tatizo lililotegemewa na nishukuru tu kuwa limejionyesha mapema kutupa muda wa kutosha kujipanga.
Kwenye hii vita Dr.Slaa hayupo upande wetu tena na hao ambao hawako upande wetu wako kinyume chetu.
Dr.Slaa jana amezungumzia silaha na vita; the old man wants a war and let us give him one!
Tatizo la Dr. Slaa ni kama kidonda kilichojitokeza juu kwaajili ya ugonjwa ulio ndani so we should treat it topically and systemically.Tukioshe kidonda,tukifunge ila pia sindano, vidonge na hata drip ikilazimu ni muhimu kwa ugojwa ulio ndani.
Dr.Slaa awe sababu ya kutuimarisha na sio kubabaisha umoja huu.Viongozi wa CHADEMA wafahamu kuwa diplomasia na Slaa imeshashindikana so stop being naive and personaly I don't like suprises,so we take them on and give them a campaign they never see before!
Once again into the frey, into the battle we will always be proud of,live or die on this day!