MjuviKitambo
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 711
- 817
Siko hapa kuomba kwa sababu najua kua nchi yangu ni tajiri. Na misaada haiji kirahisi, huja kwa kusaini masuala yauwekao utaifa wetu rehani.... Ya pili hiyo naiweka moyoni
Utanipasau mbavu zangu teh teh teh teh!Babu anasema yuko "study tour" na mchumba.
Kwi kwi kwi teh teh teh!
Mwandishi mzuri wa hotuba ni Salva Rweyemamu na mwenzie Kibanga tu
I am not here for foreign aid, and CHADEMA party which I represent does not believe on foreign AID. This is my party's philosophy, and any sane human being would not want to live off handouts, or going around begging because foreign aid is only needed as short term relief for countries coming out of calamities.
Foreign aid is a form of slavery which creates a false sense of entitlement. It confines a beggar into a psychological and mental prison of his own creation, becoming incapable to make any meaningful decision of his own. He does not think on how to get out of his difficulties as long as he knows that, someone somewhere will help him.
mkuu, hatukatai kuoa mke zaidi ya mmoja.,.. tatizo hapa ni kutelekeza uliowaoa mwanzo baada ya kupora mke wa mtu.,,pili, kutelekeza familia bila matunzo wala mahitaji mhm esp watoto.....mbaya zaidi mtu mwenyewe ni padre..au kwa kuwa ni muasi ndio huoni madhara yake??
Unadhani january makamba angeweza kuandika kwa uzuri zaidi? Mwandishi si mweledi wa kutosha, kuna hata gramatic errors. Hutuba zilikua za mwalimu nyerere. Zilikua kabambe in substance and language; sio mchezo.Uandishi mbovu ajabu, bado sijakutana na mwandishi mzuri wa hotuba...haivutii
slaa hana jipya.
Mkuu hiyo hotuba nyepesi mno, haijanitingisha, kwa wataalam wa uandishi hiyo ni level ya undergraduates, ila mimi nimekuja gundua jambo moja, ngoja tumuache tu naye dr wenu azunguke zunguke aone dunia maana uzee nao umekaribia, tusijekua tunaharibu pensheni za watu, tembea baba uone mengi usimulie wajukuu zako..
Hivi Dr alienda kuomba kura au kuongea na wanafunzi,Hivi Jk alishawahi kuutubia chuo kikuu chochote duniani?
Una maana amekwenda kusomea URAIS au???Babu anasema yuko "study tour" na mchumba.
Kwi kwi kwi teh teh teh!
Una maana amekwenda kusomea URAIS au???
Hivi Dr alienda kuomba kura au kuongea na wanafunzi,
Mambo ya siasa za kwenu yanawahusu nini wamarekani