Dr. Slaa: Baraza jipya limechoka kabla halijaanza kazi

Kwa mwigulu nchemba raisi anabidi afikirie tena uteuzi wa huyu bwana. Ni mtu mwenye kashfa nyingi; fumanizi la igunga, mabomu Arusha, kauli zake za matusi mara kwa mara anapochangia mada mbalimbali bungeni, kashfa ya ugaidi wa lwakatare. Yaani huyu bwana ana msururu wa kuhusishwa na mambo mengi machafu still rais anamteua kuwa naibu waziri. Kweli kwa JK kila kitu kinawezekana.

Mkuu investa.tz, ni bahati mbaya sana kwamba sisi wa-Tanganyika ni DHAIFU sana na JK alishaliona hilo hivyo hahitaji wala kutuchagulia "tusi"!!! Tutalalamika sana humu JF lakini hatutachukua hatua yoyote dhidi ya hizi dhihaka hizi! Pia upinzani nao ni DHAIFU kwani kwa uteuzi huu Upinzani ungekuwa makini ni "kete" ya kutosha kuiporomosha serikali kabla hata ya siku 100! Ushahidi wa kashfa & jinai za Mwigulu viko wazi, hivyo Dr. Slaa & Co. wasibaki kutupa kauli nyepesi nyepesi, wachukue hatua stahiki!!
 
Mkuu, hii mizigo ni haki yetu watanzania kuibeba maana tuliichagua wenyewe 2010 lakini naona sasa Mkuu wa Kaya kaamua kutuongezea na kifusi kabisa na sijui kama tutafika katika hii safari ya kuelekea 2015?

zigo no moja ccm ndani yake kunavizigo vya hapa na pale.
 
bora wote hao....ila kwa Juma mkamia....watanzania hatuja tengewa haki.
 
Kwa mwigulu nchemba raisi anabidi afikirie tena uteuzi wa huyu bwana. Ni mtu mwenye kashfa nyingi; fumanizi la igunga, mabomu Arusha, kauli zake za matusi mara kwa mara anapochangia mada mbalimbali bungeni, kashfa ya ugaidi wa lwakatare. Yaani huyu bwana ana msururu wa kuhusishwa na mambo mengi machafu still rais anamteua kuwa naibu waziri. Kweli kwa JK kila kitu kinawezekana.

INASEMEKANA JK ANAJUA KWAMBA HANA UWEZO , bali AMEWEKWA PALE MAKUSUDI ILI KUCHOTA MIHELA KWA AJILI YA CCM 2015 !
 
Mzee Slaa inabidi apevuke akili sasa.hii tabia yake ya kuingiza siasa kwenye kila jambo inakera sana. Akiambiwa adhibitishe maneno yake kuhusu mwigulu Nchemba ataanza kujiuma uma.
 
Nchemba kuwa naibu waziri wa fedha, basi upeo wangu wa kufikiri ni mdogo sana.
Huyu si ndo alisema anaushahidi wa ugaidi dhidi ya Lwakatare duniani na mbinguni, hivi huu wa duniani ameshautoa?

Na huyu mwingine Juma Nkamia, dah huyu aliwatukana waandishi wa habari halafu leo unampa unaibu wa habari na michezo! Rais wetu tuonee huruma wananchi wako, hawa watu hawafai kabisa! Tulikuamini sana tukakupa nchi, lakini kwa kuwa hutagombea tena ndo unatufanyia hivyo wananchi wako! kweli shukrani ya punda ni mateke! MWENYEZI MUNGU tusaidie sie Watanganyika.
 
Kama hujui kufa tazama kaburi, Uteuzi wa Mwigulu ni sawa na kuzika fedha zetu kwa maccm, hapo safari za china zitakuwa nyingi, fedha za mabomu hataombwa mtu
 
Taarifa za kiuchunguzi zinaonyesha kwamba wanaccm wengi wamekata tamaa na serikali yao ! Hasa baada ya MIZIGO kugeuka VIFURUSHI !
 
Wakati mawaziri kadhaa waliopita wanapigwa chini ikiwemo kujiuzuru kwa Kagasheki nilijiuliza sana ni nani ataziba mapengo!

Nilijiuliza hivi kwa kuwa niliona kuwa hakuna tena ndani ya ccm ambaye ana maadili na uwezo wa kuwa waziri, utamteua nani!!

Wooote wana kashfa a walipo nyumbani wote waliondoka serikalini kwa kashfa! sasa nanai wa kuwa Waziri?
Kama nilivyowaza na ndio kilichotokea, Juma Nkamia anaukwaa uwaziri, Mwigulu Nchemba anaukwaa uwaziri, na wengine vilaza kibao tu wamekua mawaziri!

Ccm imechoka sana na kilichopo sasa ukiingia serikalini ni kuiba tu!!
 
Kwa mwigulu nchemba raisi anabidi afikirie tena uteuzi wa huyu bwana. Ni mtu mwenye kashfa nyingi; fumanizi la igunga, mabomu Arusha, kauli zake za matusi mara kwa mara anapochangia mada mbalimbali bungeni, kashfa ya ugaidi wa lwakatare. Yaani huyu bwana ana msururu wa kuhusishwa na mambo mengi machafu still rais anamteua kuwa naibu waziri. Kweli kwa JK kila kitu kinawezekana.

Ni vema ukitambua kwamba yote ambayo MWIGULU amekuwa anafanya yana baraka zote kutoka kwa Mwenyekiti wake yaani Rais. Vinginnevyo angesha sahaulika katika ulimwengu wa siasa. N hata hapo amewekwa kwa malengo maalumu. Muda utatuambia.
 
Mabadiliko yaanzie huko ndani kwanza kama kweli mnamaanisha hii biashara!!!!!!!
Kwa hili huyu ndugu akae kimya kabisa sababu anapokaa yeue hali ni hii hii tu!!!!!
 
Nchemba kuwa naibu waziri wa fedha, basi upeo wangu wa kufikiri ni mdogo sana.
Huyu si ndo alisema anaushahidi wa ugaidi dhidi ya Lwakatare duniani na mbinguni, hivi huu wa duniani ameshautoa?

Na huyu mwingine Juma Nkamia, dah huyu aliwatukana waandishi wa habari halafu leo unampa unaibu wa habari na michezo! Rais wetu tuonee huruma wananchi wako, hawa watu hawafai kabisa! Tulikuamini sana tukakupa nchi, lakini kwa kuwa hutagombea tena ndo unatufanyia hivyo wananchi wako! kweli shukrani ya punda ni mateke! MWENYEZI MUNGU tusaidie sie Watanganyika.

I second u mdau. Kweli kikwete katuchoka anatufanyia makusudi ya wazi kabisa kisa yeye karibu anaondoka. Kumpa Mwigulu u waziri ni kutukosea heshima watanzania. Mbaya zaud Hawa ghasia kabaki palepale eee. Aya bana tunashukuru
 
Wabavicha bwana kwao waziri angekuwa zero, kabangi, Mukya, Kamili( former Slaa's kim..da(mke????? ahaaaaaa usitake ncheke mie), sugu au mchungaji fake Msigwa. Kwa sababu hamna adbu adhabu yenu itakuwa ni kuchungulia chini muda wenu wote
 
Katibu mkuu wa Chadema Dr. Willbrod Slaa amesema kwamba baraza jipya la mawaziri lililoteuliwa na kutangazwa jana na katibu mkuu kiongozi limechoka kabla halijaanza kufanya kazi.

Aidha Dr. Slaa amesema kuwa uteuzi wa Mwigulu Nchemba kama naibu waziri wa fedha (sera) ni mkakati wa CCM kujichotea fedha za uchaguzi mkuu ujao hivyo tutarajie EPA nyingine.


Uteuzi wa Mwigulu Nchemba, Dr. Asharose Migiro, Adam Malima, Saada Mkuya, Jenista Mhagama na kurejeshwa kwa Dr. Shukuru Kawambwa kumezua manung'uniko mengi huku wengi wakihoji uwezo wao kiutendaji.

Dr Migiro anakuwa waziri wa katiba na sharia huku akielezwa kama miongoni mwa waliobeba maslahi ya CCM kwenye mchakato wa katiba mpya hususan kwenye madaraka ya rais na muundo wa muungano. Saada, Nchemba na Malima wamekabidhiwa wizara nyeti ya fedha na uchumi ambapo imedaiwa kuwa uwezo wao kiutendaji hauwezi kuiletea ufanisi wizara hiyo huku wengi wakitilia shaka uteuzi wa Nchemba kiuadilifu ambapo amekuwa akionyesha chuki za wazi kwa Chadema na viongozi wake na kukosa kabisa staha pale anapochangia bungeni.

Kawambwa na Jenista wamepewa jukumu la kuongoza elimu ambapo Kawambwa alionyesha dhahiri kushindwa vibaya kuongoza sekta hiyo nyeti kabla ya uteuzi mwingine wa jana.

Hiki kibabu ndio kimechooka! Hilo gwanda kuubwa! Ye kashindwa kazi ya Mungu anamkosoaje Jk? Aaache kudandia hoja, na chama cha matukio.
 
Back
Top Bottom