Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
Kaazi kweli kweli!!! Padri akizushia kifo cha uongo muumini ni kweli, je yeye akizushiwa kifo anaogopa nini si aende akawhi raha kwenye makao mapya huko mbiinguni!!!!:dance:
nani aliye zushia kifo cha uwongo?taarifa za Kifo zilizotolewa na Dr zilitoka kwa mtu wa karibu sana sana na muhisika hakupiga simu kutoa taarifa bali alilaani mashambulizi yaliyotolewa jana yake juu ya muhusika,kwamba ndiyo yamesababisha kifo,Lakini si hivyo tu taarifa za majirani zake zilieleza habari hiyo kilichotokea baadae si jambo la kushangaza sana,kwa mtu yeyote aliyewahi kupata au kupitia machungu ya kufiwa anaweza kuelewa hili.
Binafsi mama yangu alishaingizwa kabisa katika chumba cha kuhifadhia maiti madaktari wakiwa tayari wanaandika report ya kifo chake gafla muhudumu alikuja kutoa taarifa katika chumba cha kuhifadhi maiti kuna mtu ametikisikaa.Hii ilitokea baada ya kumfanyia operation mara nne kwa mfulilizo baada ya kupata ajali na operation ya mwisho haikwenda vizuri.
kwa mana hiyo sikustushwa na habari hizo.Lakini tunapopokea taarifa hizi tunakuwa maakini kwani mengi yalisemwa na kuandaliwa mitego yawezekana bado njama zinaendelea.Nalojua ni jambo moja tu kwa wale wote wanaotega mitego.NI kwamba YEYE AMLINDAE ASINZII WALA HALALI.NA KILA SHIMO WANALOLICHIMBA WATATUMBUKIA WENYEWE,NA KILA MTEGO UTAWANASA WENYEWE.