Dr. Slaa Azushiwa Kifo

Utakuwa huna akili timamu wewe!

ili niwe na akili timamu unataka niweje? je kufuata matakwa yako ndio kuwa na akili timamu? siwezi kufanya jambo kumridhisha mtu furani nafanya nionavyo mimi kwa manufaa ya wote,ili mradi nisiingilie uhuru wa mtu
 
Rev na wewe toka lini injinia akawa na akili kwenye mambo yanayoihusu Chadema.

Fikra hasi na mgando ktk jamii iliyoelimika

narudia siwezi fanyajambo kumfurahisha mtu,nafanya kwa maono yangu na kwa manufaa ya wote pasipo kuingilia uhuru wa mtu
 
Wana JF,
Kwanza nawapa pole sana wale wote waluiokuwa wamestushwa na Uzushi wa Dr. Slaa kupata ajali na kufa". Poleni sana kwa usumbufu huo. Nawashukuru sana wale wote walionipigia simu kutaka kujua ukweli au mmoja kwa moja kwangu au kwa njia ya walio karibu nami. Asanteni sana kwa Concern yenu. Aidha nawashukuru sana wana Jamvi wote, kila mmoja kwa jinsi alivyojadili kwa hisia yake, ndio uhuru wa mawazo. Miminawashukuru wote. Sasa basi:
i) Ushahidi wa uzushi huo ni Simu nilizopigiwa mimi na watu mbali mbali jana jioni na leo asubuhi. Sidhani kama kuna hitajika ushahidi zaidi ya uwepo wa uzushi huo. Mimi mwenyewe nimepigiwa simu hizo. Tofauti ni kuwa Taarifa ya Dr Balele ilianzia hapa hapa JF, wale wanaofuatlia wanajua ilikoanzia.Tena kwa mtu aliyesema yuko Hospitalini Bugando, na baadaye kusema ameshuhudia mahema yakifungwa "nyumbani kwake kuashiria msiba. Ni dhahiri kama mtandao wetu umefikia hatua ya watu kuzushiana vifo, basi Taifa limefika pabaya, hasa kwa wasomi "mwenyewe uwezo wa kutumia mtandao hategemewi kuwa mtu wa Kawaida.
ii) Napenda kuwathibitishia wana JF na wapenzi wetu na watanzania wote kuwa niko salama salimini, hapakuwa na tukio lolote, hata la kuashiria ajali iwe ya gari au bafuni. Hii ndio tofauti na tukio la balele, Uzushi unatolewa ufafanuzi na siyo kugeuza kjuwa siasa kama baadhi ya WanaJF wasiopenda kufanya utafiti kabla ya kutoa kauli wanavyotaka kuonyesha hapa Jamvini. Ndiyo maana napenda wapenzi wetu na Watanzania kwa ujumla waelewe kuwa hakuna tukio lolote na wawe na amani. Linalokuja au lilikuwa linapangwa na wenye kuzusha siwezi kufahamu na wala si nia yangu kulizungumzia.
iii) Kwa Taarifa yenu jana kuanzia saa 6 Mchana nilitembelea Shule ya Sekondari ya Dr Willibrod Slaa, iliyoko Basodawish, Wilaya Karatu na kufanya mkutano na Waalimu hadi saa 9 mchana tukipanga mikakati mbalimbali ya kuendeleza shule hiyo ya Wananchi. Kuanzia saa 9.30 hadi saa 12.15 alasiriri nilifanya mkutano wa ndani na uongozi wa Chadema Wiliya ya Karatu na wadau mbalimbali. Kwa sasa niko mjini Arusha nikijiandaa kwenda Mahakamani kama mlivyokuwa mnafuatilia kwenye vyombo vya habari. Nawatakia heri sana wote.


Wahenga walisema ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.
Jana jioni watu wasiofahamika lakini wanaoonyesha kuwa walijipanga vizuri kipropaganda walitengeneza na kusambaza habari kwamba Dr. Slaa ameanguka bafuni akiwa jijini Arusha na kufariki dunia.

Nikiwa natafuta ukweli au uongo wa habari hiyo niliwasiliana na viongozi wa CHADEMA Arusha wakanipa mlolongo wote wa uzushi huo ulivyoanza mchana kwa kutangaza kuwa Dr. Slaa kapata ajali ya gari.

Kwa kweli huu ni uongo mkubwa. Sasa tumefikia mahali pa kuzushiana vifo. Sijui tunaenda wapi?:pound:
 
Wakuu nimeongea na Dr mimi mwenyewe. Amenithibitishia kuwa ameusikia huo uzushi na ya kwamba watu wengi wameteswa sana na habari hizo. "Kwa sasa tunafanya uchunguzi makini kujua chanzo halisi cha uvumi huo" Dr. Slaa.

Ninaomba wachambuzi tuache kuona habari kivivu. Hakuna mtu ambaye hana kazi kiasi cha kuja jukwaani kuleta habariisiyo na maslahi kwa umma. Dr. Slaa ni kifaa cha ukombozi wa watanzania. Wezi wa rasilimali zeu hawawezi kufurahia prosperity yake.
 
Wakuu nimeongea na Dr mimi mwenyewe. Amenithibitishia kuwa ameusikia huo uzushi na ya kwamba watu wengi wameteswa sana na habari hizo. "Kwa sasa tunafanya uchunguzi makini kujua chanzo halisi cha uvumi huo" Dr. Slaa.

Ninaomba wachambuzi tuache kuona habari kivivu. Hakuna mtu ambaye hana kazi kiasi cha kuja jukwaani kuleta habari isiyo na maslahi kwa umma. Dr. Slaa ni kifaa cha ukombozi wa watanzania. Wezi wa rasilimali zetu hawawezi kufurahia prosperity yake.
 
Wahenga walisema ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.
Jana jioni watu wasiofahamika lakini wanaoonyesha kuwa walijipanga vizuri kipropaganda walitengeneza na kusambaza habari kwamba Dr. Slaa ameanguka bafuni akiwa jijini Arusha na kufariki dunia.

Nikiwa natafuta ukweli au uongo wa habari hiyo niliwasiliana na viongozi wa CHADEMA Arusha wakanipa mlolongo wote wa uzushi huo ulivyoanza mchana kwa kutangaza kuwa Dr. Slaa kapata ajali ya gari.

Kwa kweli huu ni uongo mkubwa. Sasa tumefikia mahali pa kuzushiana vifo. Sijui tunaenda wapi?:pound:

Mwenye namba za Nape anipatie nimpigie, huenda anafahamu lolote kuhusiana na uzushi huu.
 
Wana JF,
Kwanza nawapa pole sana wale wote waluiokuwa wamestushwa na Uzushi wa Dr. Slaa kupata ajali na kufa". Poleni sana kwa usumbufu huo. Nawashukuru sana wale wote walionipigia simu kutaka kujua ukweli au mmoja kwa moja kwangu au kwa njia ya walio karibu nami. Asanteni sana kwa Concern yenu. Aidha nawashukuru sana wana Jamvi wote, kila mmoja kwa jinsi alivyojadili kwa hisia yake, ndio uhuru wa mawazo. Miminawashukuru wote. Sasa basi:
i) Ushahidi wa uzushi huo ni Simu nilizopigiwa mimi na watu mbali mbali jana jioni na leo asubuhi. Sidhani kama kuna hitajika ushahidi zaidi ya uwepo wa uzushi huo. Mimi mwenyewe nimepigiwa simu hizo. Tofauti ni kuwa Taarifa ya Dr Balele ilianzia hapa hapa JF, wale wanaofuatlia wanajua ilikoanzia.Tena kwa mtu aliyesema yuko Hospitalini Bugando, na baadaye kusema ameshuhudia mahema yakifungwa "nyumbani kwake kuashiria msiba. Ni dhahiri kama mtandao wetu umefikia hatua ya watu kuzushiana vifo, basi Taifa limefika pabaya, hasa kwa wasomi "mwenyewe uwezo wa kutumia mtandao hategemewi kuwa mtu wa Kawaida.
ii) Napenda kuwathibitishia wana JF na wapenzi wetu na watanzania wote kuwa niko salama salimini, hapakuwa na tukio lolote, hata la kuashiria ajali iwe ya gari au bafuni. Hii ndio tofauti na tukio la balele, Uzushi unatolewa ufafanuzi na siyo kugeuza kjuwa siasa kama baadhi ya WanaJF wasiopenda kufanya utafiti kabla ya kutoa kauli wanavyotaka kuonyesha hapa Jamvini. Ndiyo maana napenda wapenzi wetu na Watanzania kwa ujumla waelewe kuwa hakuna tukio lolote na wawe na amani. Linalokuja au lilikuwa linapangwa na wenye kuzusha siwezi kufahamu na wala si nia yangu kulizungumzia.
iii) Kwa Taarifa yenu jana kuanzia saa 6 Mchana nilitembelea Shule ya Sekondari ya Dr Willibrod Slaa, iliyoko Basodawish, Wilaya Karatu na kufanya mkutano na Waalimu hadi saa 9 mchana tukipanga mikakati mbalimbali ya kuendeleza shule hiyo ya Wananchi. Kuanzia saa 9.30 hadi saa 12.15 alasiriri nilifanya mkutano wa ndani na uongozi wa Chadema Wiliya ya Karatu na wadau mbalimbali. Kwa sasa niko mjini Arusha nikijiandaa kwenda Mahakamani kama mlivyokuwa mnafuatilia kwenye vyombo vya habari. Nawatakia heri sana wote.
Asante sana Dr. kweli CCM inatapatapa inazama inatumia chochote kilicho mbele yake ikiona jani linaelea inalidandia ikidhani itasalimika tuendelee kuwapa pressure hadi wasambaratike kabisa.
 
Wakuu nimeongea na Dr mimi mwenyewe. Amenithibitishia kuwa ameusikia huo uzushi na ya kwamba watu wengi wameteswa sana na habari hizo. "Kwa sasa tunafanya uchunguzi makini kujua chanzo halisi cha uvumi huo" Dr. Slaa.

Ninaomba wachambuzi tuache kuona habari kivivu. Hakuna mtu ambaye hana kazi kiasi cha kuja jukwaani kuleta habari isiyo na maslahi kwa umma. Dr. Slaa ni kifaa cha ukombozi wa watanzania. Wezi wa rasilimali zetu hawawezi kufurahia prosperity yake.
Chanzo kipi tena wakati wewe ndiye umetuletea mpaka sasa mimi najua chanzo ni wewe Kamende labda wewe ndiyo utafute chanzo chako.
 
Wana JF,
Kwanza nawapa pole sana wale wote waluiokuwa wamestushwa na Uzushi wa Dr. Slaa kupata ajali na kufa". Poleni sana kwa usumbufu huo. Nawashukuru sana wale wote walionipigia simu kutaka kujua ukweli au mmoja kwa moja kwangu au kwa njia ya walio karibu nami. Asanteni sana kwa Concern yenu. Aidha nawashukuru sana wana Jamvi wote, kila mmoja kwa jinsi alivyojadili kwa hisia yake, ndio uhuru wa mawazo. Miminawashukuru wote. Sasa basi:
i) Ushahidi wa uzushi huo ni Simu nilizopigiwa mimi na watu mbali mbali jana jioni na leo asubuhi. Sidhani kama kuna hitajika ushahidi zaidi ya uwepo wa uzushi huo. Mimi mwenyewe nimepigiwa simu hizo. Tofauti ni kuwa Taarifa ya Dr Balele ilianzia hapa hapa JF, wale wanaofuatlia wanajua ilikoanzia.Tena kwa mtu aliyesema yuko Hospitalini Bugando, na baadaye kusema ameshuhudia mahema yakifungwa "nyumbani kwake kuashiria msiba. Ni dhahiri kama mtandao wetu umefikia hatua ya watu kuzushiana vifo, basi Taifa limefika pabaya, hasa kwa wasomi "mwenyewe uwezo wa kutumia mtandao hategemewi kuwa mtu wa Kawaida.
ii) Napenda kuwathibitishia wana JF na wapenzi wetu na watanzania wote kuwa niko salama salimini, hapakuwa na tukio lolote, hata la kuashiria ajali iwe ya gari au bafuni. Hii ndio tofauti na tukio la balele, Uzushi unatolewa ufafanuzi na siyo kugeuza kjuwa siasa kama baadhi ya WanaJF wasiopenda kufanya utafiti kabla ya kutoa kauli wanavyotaka kuonyesha hapa Jamvini. Ndiyo maana napenda wapenzi wetu na Watanzania kwa ujumla waelewe kuwa hakuna tukio lolote na wawe na amani. Linalokuja au lilikuwa linapangwa na wenye kuzusha siwezi kufahamu na wala si nia yangu kulizungumzia.
iii) Kwa Taarifa yenu jana kuanzia saa 6 Mchana nilitembelea Shule ya Sekondari ya Dr Willibrod Slaa, iliyoko Basodawish, Wilaya Karatu na kufanya mkutano na Waalimu hadi saa 9 mchana tukipanga mikakati mbalimbali ya kuendeleza shule hiyo ya Wananchi. Kuanzia saa 9.30 hadi saa 12.15 alasiriri nilifanya mkutano wa ndani na uongozi wa Chadema Wiliya ya Karatu na wadau mbalimbali. Kwa sasa niko mjini Arusha nikijiandaa kwenda Mahakamani kama mlivyokuwa mnafuatilia kwenye vyombo vya habari. Nawatakia heri sana wote.

Pole sana Dr Slaa kwa usumbufu uliopata kutokana na uzushi huo dhidi yako. Tunakuombea heri siku zote, wapuuze hao wazushi!
 
Kaazi kweli kweli!!! Padri akizushia kifo cha uongo muumini ni kweli, je yeye akizushiwa kifo anaogopa nini si aende akawhi raha kwenye makao mapya huko mbiinguni!!!!:dance:
 
Utakuwa huna akili timamu wewe!

Tatizo lako ni kwamba unataka nifanye kile wewe unataka,hayo ni mambo ya kiimla ni wewe na mke na watoto wako ndio unaweza kuwalazimisha wafanye kile wewe unataka kwa kuwa unawacontrol

kwa upande wangu Mkuu huwezi kamwe daima milele haitatokea hilo,kwenye ndio nitasema ndio na kwenye hapana nitasema hapata,daima sitokujafanya jambo kumridhisha mtu furani eti nionekane nina akili kwangu halipo ilo hehehehe

linalotakiwa kuunga mkono nitakuunga la hasha nitakuwa kinyume lengo ni kuendelea kulinda uhuru wa maoni wa kila mtu
 
Pole sana Dr Slaa kwa usumbufu uliopata kutokana na uzushi huo dhidi yako. Tunakuombea heri siku zote, wapuuze hao wazushi!

haya masanilo na mwenzako

mlikuwa mnalazimisha hii mada itolewe AIBU YENU
tumepata taarifa muhimu kutoka kwa mhusika kuliko kama mlivyokuwa mkilazimisha hii mada itupwe eti haina evidence
na kama ingetupwa tusingeweza kupata taarifa iliyokamilika kutoka kwa Dr Slaha mwenyewe,tunge endelea kuwa na wasiwasi kwani uzushi mala nyingine huwatengenezwa na kuwa kweli

Tunashukuru kwa taarifa

nakushauri bwana Masanilo usipende kujaji na kudharau mada za watu wengine tambuwa kuwa kila mtu ana haki na uhuru wa maoni ktk hili Jamvi
na mala nyingi huwa natabia ya kusimamia kile ninachokiongea hususani pale ninapo ona kuna watu kujifanua wapo juu zaidi ya wenzao kimawazo na kiakili

kazi njema Dr PAMOJA DAIMA,KWA PAMOJA TUTAFIKA
 
Nawasiwasi na huo uzunzi,tambuwa kuwa kila jambo linalojitokeza lina maana yake,huwezi juwa kwanini waliamuwa kuzusha? malengo ya uzushi ni nini haswa? tusibweteke na kukubali uzushi upite,kunakitu hapo ni swala la kuwa makini na uzushi huo chochote cha weza tokea

kumbukeni ya akina Kolimba,Malima,sokoine,Kombe

naomba ulinzi uongezwe kwake,tusije juta baada tukaanza na story za ningelijuwa huku jambo limeshatokea

Isije ikawa wamekosea hesabu wakaondoa mwingine?:smow:
 
Chanzo kipi tena wakati wewe ndiye umetuletea mpaka sasa mimi najua chanzo ni wewe Kamende labda wewe ndiyo utafute chanzo chako.

kuna haja ya kujuwa chanzo
hii ni Tanzania bana,kila kitu kinamaana yake,kama nilivyosema mwanzo kuna umuhimu wa kujuwa ni nani kafanya hivyo,kwanini na malengo yake ni yapi
haiwezekani from no where mtu akulupuke na kutoa kauli za namna hiyo,labda kuna kitu walitaka kufanya sasa kimeshindikikana na uzushi ukaja kabla ya tendo husika,

lazima tuwe makini na hilo sio jambo jepesi kama baadhi ya watu humu wanavyo lifikilia linahitaji umakini wa hali ya juu ktk kulishughulikia

ongezeniulinzi kwa DR na endeleeni kufanya uchunguzi juu ya hilo

Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko
 
Isije ikawa wamekosea hesabu wakaondoa mwingine?:smow:

ndio maana yake mkuu
ni kama hapa nilipo jamaa walikosea tageti wakaondoa asiyehusika na mhusika yupo mzima
kwa hiyo tusilichukulie kama jambo jepesi,na hili ndilo tatizo letu huwa tunadhani kunavitu vipo kwa kuwa vinatakiwa kuwepo kumbe vingine ni hatari na vinahitaji umakini wa hali ya juu ktk kuvishughulikia
 
kuna haja ya kujuwa chanzo
hii ni Tanzania bana,kila kitu kinamaana yake,kama nilivyosema mwanzo kuna umuhimu wa kujuwa ni nani kafanya hivyo,kwanini na malengo yake ni yapi
haiwezekani from no where mtu akulupuke na kutoa kauli za namna hiyo,labda kuna kitu walitaka kufanya sasa kimeshindikikana na uzushi ukaja kabla ya tendo husika,

lazima tuwe makini na hilo sio jambo jepesi kama baadhi ya watu humu wanavyo lifikilia linahitaji umakini wa hali ya juu ktk kulishughulikia

ongezeniulinzi kwa DR na endeleeni kufanya uchunguzi juu ya hilo

Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko

Kujua chanzo na kudharau habari si kitu bora, kwani anaedanganya leo kesho anasema ukweli. Kwa mfano dr slaa alishatuelezaga kwamba Mkuu wa mkoa wa shinyanga amefariki, then ikawa uongo, je tusimwamini slaa kama chanzo cha habari za ukweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom