Dr Slaa Awafunda Polisi Iringa, Wafundika

Dr Slaa Awafunda Polisi Iringa, Wafundika

Bramo

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
13,230
Reaction score
10,201
Wakuu JF Amani iwe Nanyi.

Katika muendelezo wa kile kinachojulikana kama Elimu ya Uraia itolewayo Bure na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Safari hii somo lilienda kwa jeshi la Polisi.
Polisi hao wamemuomba Dr Slaa kulikumbuka Jeshi la Polisi Pindi CHADEMA itakapotwaa Madaraka 2015.
Wamesema kuwa CCM imewasahau na kuishia tu kuwatumia na kuwasahau kabisa kuanzia kwenye Mishahara yao Mpaka kwenye Nyumba wanazoishi.

1896739_415896795221708_883577710_n.jpg
 
Huyu mkuu wao kama anajiandaa kumcharaza Dr. Bakora, maana alivyoishika hiyo fimbo na anavyomuangalia kwa usongo...
 
Wakuu JF Amani iwe Nanyi.

Katika muendelezo wa kile kinachojulikana kama Elimu ya Uraia itolewayo Bure na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Safari hii somo lilienda kwa jeshi la Polisi.
Polisi hao wamemuomba Dr Slaa kulikumbuka Jeshi la Polisi Pindi CHADEMA itakapotwaa Madaraka 2015.
Wamesema kuwa CCM imewasahau na kuishia tu kuwatumia na kuwasahau kabisa kuanzia kwenye Mishahara yao Mpaka kwenye Nyumba wanazoishi.


Acha uongo wewe huyo babu mwenyewe nyumba amejenga uzeeni baada ya kujikopesha ruzuku
 
Mtoto wa kike lazima awe na staha na asubiri atongozwe wewe yamekukuta yapi?

JF sasa hivi imejaa mawazo na michango ya Kilumumba Lumumba na Maswahiba zao ACT, yaani ccm- C, naona Great thinkers walishahama hii forum.
 
Huyu bora ajiunge na ACT mapema kuepuka aibu kubwa zaidi.
 
Haulalamiki kwa kuwa dada yako hajawahi kuja kwako akilalamika kukosa huduma
Mingoi dada yako analalamika huwa anashindwa kumpatia shemejio yote kisa wewe unakuwa umelala sebureni utasikia mihemo...... Utakuja geuziwa pindi dada yako akimnyima shemeji yako itakuwa ni zamu yako......
 
Hii picha ya mwaka gani? mbona inaonekana kama ilipigwa kabla ACT haijazaliwa vile
mukimaliza tuu billion mmia nne mulizozikomba benki kuu na kufirisi nchi ndio mwisho wa ACT chama cha kumfichia uchafu KIkwete manake CCM walishagawana fito
 
Mingoi dada yako analalamika huwa anashindwa kumpatia shemejio yote kisa wewe unakuwa umelala sebureni utasikia mihemo...... Utakuja geuziwa pindi dada yako akimnyima shemeji yako itakuwa ni zamu yako......
Umeshamaliza kumnyonyesha mwanao
 
Back
Top Bottom