rekodi uliyoandika haieleweki, ushabiki mbuzi unakusumbua.Vipi una Uhakika mkuu.
Au ni viroja tu.
hivi mbona watu waleta kichefu chefu hapa jf????? acheni hizo mtafanya watu watapike , eti mkweli toka lini tuulize
Usimamizi wa fedha za CCBRT haziusiani na Chadema Mkuu
Basi kama ndivyo..... afanye hivyo hata ndani ya CHADEMA pia.....
mkuu usihangaike na lumumba project .
Utafiti halali unaonyesha kwamba DR SLA ndiye mtu maarufu zaidi hapa TANZANIA kwa hivi sasa .
Basi kama ndivyo..... afanye hivyo hata ndani ya CHADEMA pia.....
rais wetu uyo mzalendo wa ukweli na c wajinga jinga wa chama cha ma k
mwambie aendelee kukupa nyeti zote ila asisahau yafuatayo: kurudisha milioni arobaini ya chama aliyojikopesha ili akarabatie nyumba yake sinza, atoe taarifa ya bastola kule igunga, atoe taarifa ya IPAD iliyohongwa mwamke na makene,asubirie kidogo aone alivyodanganya kuwa yeye ni dr, baada ya hapo utaendelea kuona ubora wake pia ile kadi ya ccm aliyolipia miaka thelathini airudishe asidanganye kuwa ni mali yake
We umevurugwa, huko nyuma hukuwa hivyo.
Kwanini kila jambo mnakimbilia Lumumba..... emu sometimes tujaribu kujibu hoja kwa hoja na si kila kitu ni Lumumba........!!! ipo wapi taarifa ya matumizi ya fedha za misaada ya fedha ndani ya CDM na pesa ya ruzuku inayoipata kutoka serikalini...??? Acha kukimbilia Lumumba au na wewe ulishaingia kwenye hilo kundi ukatoka.....
hahaaaaa! Mkuu ukishindwa hoja kaa kimya sio kuongea maneno yenye fumbo linalo maanisha matusi, kweli ccm mmelaaniwa kabisaaaaaa hayupo hata wa afadhari kati yenu,