Dr. Slaa asahaulika CHADEMA

Dr. Slaa asahaulika CHADEMA

Kansigo

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
2,670
Reaction score
2,156
Wanajanvi ni ukweli usiofichika kuwa wanachadema kwa sasa hawana muda tena kumfikiria Dr Slaa na wala hawaoni pengo lake. Hatuzisikii tena zile movement za bring back or Dr slaa, nitaondoka na dr slaa etc.

Muda mwingi wako busy na MADODOKI kumsafisha yule walomwita fisadi kwa miaka minane mfululizo bila aibu yotote.

Nawatahadharisha kuwa dhambi ya kumnyanyapaa kiasi hiki Dr Slaa aliyekiweka chama katika sura iliyopo leo, hata kikawavutia hao mnaowasafisha leo haitowaacha salama.
 
CCM mmemsaliti Nyerere angali hai japo alikijenga na kukiasisi CCM!!!

CCM mmeuza mashirika ya umma kwa bei ya kutupa mbele ya macho ya mwalimu aliyewapika mkawa viongozi!!!!

CCM mmesaliti wananchi kwa kugeuka wevi na wanyang'anyi wakubwa!!!!

Hilo dole gumba lako lililojaa sugu kwa jembe la mkono linakutazama unavyoshupaza shingo kwa wenzio wakati kwako kunaungua!!!
 
CCM mmemsaliti Nyerere angali hai japo alikijenga na kukiasisi CCM!!!

CCM mmeuza mashirika ya umma kwa bei ya kutupa mbele ya macho ya mwalimu aliyewapika mkawa viongozi!!!!

CCM mmesaliti wananchi kwa kugeuka wevi na wanyang'anyi wakubwa!!!!

Hilo dole gumba lako lililojaa sugu kwa jembe la mkono linakutazama unavyoshupaza shingo kwa wenzio wakati kwako kunaungua!!!

Sio kusaliti tu ccm walimuua nyerere
 
Kama ulikua kwenye akili yangu,kajisahaulisha mwenyewe atajijua

Slaa bhana kanishangaza sana, yaani muda wote huo alikuwa na agenda moja tu ya ufisadi kwa Tanzania tu? Alitakiwa aangalie what Tanzanians they are after now...?
 
Wanajanvi ni ukweli usiofichika kuwa wanachadema kwa sasa hawana muda tena kumfikiria Dr Slaa na wala hawaoni pengo lake. Hatuzisikii tena zile movement za bring back or Dr slaa, nitaondoka na dr slaa etc. Muda mwingi wako busy na MADODOKI kumsafisha yule walomwita fisadi kwa miaka minane mfululizo bila aibu yotote.Nawatahadharisha kuwa dhambi ya kumnyanyapaa kiasi hiki Dr Slaa aliyekiweka chama katika sura iliyopo leo, hata kikawavutia hao mnaowasafisha leo haitowaacha salama.
Dr Slaa ndiye katibu mkuu wa cdm , sasa sijui kiongozi mkubwa namna hii unawezaje kumsahau ?
 
Slaa bhana kanishangaza sana, yaani muda wote huo alikuwa na agenda moja tu ya ufisadi kwa Tanzania tu? Alitakiwa aangalie what Tanzanians they are after now...?

Atajijua mwenyewe.....nchi hii ni yetu sote
 
Slaa katumiwa na cdm,na tumia neno zuri kama gloves za tabibu, sasa katupwa kule hana maana tena.

Hiki ndicho kitakacho wapata wanamafuriko. Octoba walio wa weka madarakani watakuwa wanahangaika kulipa madeni ya hela walizokopa kuzitumia kwenye kugharamia mafuriko.
 
Nashangaa sana pale wasio ipenda na wanayo iogopa CDM wanapo jaribu kuwa washauri na watoa tathmini. Ivi tangu lini simba akampa ushauri swala jinsi ya kuishi.
 
Tangu lini adui yako akakuonea huruma? Wanafiki nyie!!! Kama mnamtaka Slaa mwalikeni kwenu ccm, CDM ni taasisi na si mtu.
 
Back
Top Bottom