Dr.Slaa apewa kazi nzito

Dr.Slaa apewa kazi nzito

Hata Kama jambo linaweza kuwa kweli, taabu ni source yenyewe (umbea)
 
Kweli Chama hakina hata watu wanao fikiria. Suala la katiba mpya ni mchakato na haiwezekani 2015 tukawa na katiba mpya hata malaika washuke. Hakuna nchi duniani iliyo anza mchakato wa kutengeneza katiba mpya na ndani ya miaka 5 ikawa tayari. Mtamzeesha bure mzee watu na ana machungu ya kushindwa Urais

Toa mifano ukianzia na jirani zetu wakenya, wao walichukua muda gani?
 
Kweli Chama hakina hata watu wanao fikiria. Suala la katiba mpya ni mchakato na haiwezekani 2015 tukawa na katiba mpya hata malaika washuke. Hakuna nchi duniani iliyo anza mchakato wa kutengeneza katiba mpya na ndani ya miaka 5 ikawa tayari. Mtamzeesha bure mzee watu na ana machungu ya kushindwa Urais

Wewe ndiso hifikiri na hujui duniani mchakato wa katiba unachukua muda gani? Mfano Kenya imechukua muda gani kuwa na katiba mpya? jibu chini ya kiaka mitano.
 
Kweli historia ilikupita kushoto, na nina wasiwasi wewe kama ni mtanzania aisee. Katika ya Tanganyika ilikuwa ni copy and paste ya katiba ya uingereza, unalijua hilo? Hivi suala la ku-copy and paste unategemea lichukue muda gani? hata wiki moja ingetosha. Sie tunacho taka ni kuandika katiba upya, au wewe una taka copy and paste ?. Tanzania bila CCM haiwezekani mkuu, mnajidanganya tu humu JF , sijui wapiganaji, sijui wadai mabadiliko, sijui nguvu ya umma , sijui tupange mikakati, hayo yote watu tunawatizama tu. Nchi hii hamuipati ng'o !

Umebadilisha rangi ya maandishi yako kwa sababu gani? Imekuuma kumbe! you idiot thinker.
 
Kweli Chama hakina hata watu wanao fikiria. Suala la katiba mpya ni mchakato na haiwezekani 2015 tukawa na katiba mpya hata malaika washuke. Hakuna nchi duniani iliyo anza mchakato wa kutengeneza katiba mpya na ndani ya miaka 5 ikawa tayari. Mtamzeesha bure mzee watu na ana machungu ya kushindwa Urais
Acha uwongo. Wakenya walifanikiwa kupata katiba mpya katika kipindi cha miaka isiyofikia mitatu. Inawezekana. Timiza wajibu wako na acha uwongo.
 
slaa alipoingia kichwa kichwa ktk uchaguzi usio na katiba imara nilimshangaa sana na kumtilia shaka na hata kudhani labda ni uchu wa madaraka!! Sasa kwa kutambua kosa alilofanya na hata wapinzani wote nadhani wakati umefika sasa watanzania wote tuungane kupigania katiba mya ili tuingie uchaguzi wa 2015 tukiwa wote chama tawala na upinzani kuwa nguvu sawa!!!

katiba mya kwa tz sio kwa ajili ya chadema tu bali ni kwa faida yetu sote wa tz hivyo hima wapinzani wote na wa tz wote kwa ujumla tusahau tofauti zetu za kisiasa ili tuwe na nguvu moja ya kuipigania katiba ambayo kwa hakika tunaihitaji na kuanzia sasa ni muhimu kuhimiza kura ya maoni kwanza ili wananchi wote washiriki kuandika hiyo katiba na kamwe isiwe ni kikundi kidogo tu ndicho kijichukulie mamlaka ya kuiandika hiyo katiba!!

ni lazima wananchi washiriki kwa asilimia 100 ili kile wanasiasa wameshindwa kuelewana kuhusu muundo wa kiuongozi basi wananchi waamue ni vipi nchi yetu iwe!! Kisiasa, kiuchumi, kijamii, maadili, nk.
 
Back
Top Bottom