Swala la lipumba...na dr slaa ni tofauti..
Mahangaiko yanayomsumbua dr ni mengi.... usaliti wa chama na kanisa... ni vitu hatari sana...
Lipumba anaweza kuomba msamaha akasamehewa ikumbukwe wakati anajiengua kwenye kiti chake bado hajakaa mbali na siasa...
Huyu dr makando ni mengi mara familia...mara chama...mara kanisa...mara bango la nyumba...