Dr. Slaa Anafaa Kuwa Rais

Dr. Slaa Anafaa Kuwa Rais

minda

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2009
Posts
1,068
Reaction score
67
Wakuu,
Ni siku chache zimebaki watanzania tutakapopiga kura kuchagua viongozi wetu ( wawe watu au chama!)
Ni wazi, kwa sasa kila mtanzania mwenye haki ya kupiga kura atakuwa ameshasikiliza sera za vyama mbali mbali katika kampeni zinazoendelea kwa sasa.
Baada ya kusikiliza kampeni za vyama mbali mbali, binafsi nimeona kwamba Dr Slaa anafaa kuwa rais wa nchi yetu.
Pengine mkuu yeyote anaweza kuniuliza ni kwanini. Majibu yako mengi lakini hasa; Dr Slaa-
  • Ni mjasiri anayetetea maslahi ya taifa (sote tumeshuhudia bungeni).
  • Anatoa matumaini kwa watanzania walio wengi kupitia sera ya elimu bure.
  • anaahidi vitu vinavyotekelezeka, mfano kupunguza kodi ya vifaa vya ujenzi.
  • Tunamuamini tunamhitaji.
  • Ongezea...!
Kutokana na hayo, Dr WS anafaa kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 31 oktoba, 2010.


Mungu ibariki Afrika! Mungu ibariki Tanzania!


nawasilisha!!!
 
Vile vile ni mtafiti mzuri na anaweza kupata taarifa toka vyanzo vya uhakika, si kutegemea wapambe. Ana uwezo mzuri wa kufikiri na kujieleza (oratory skill) pia, hategemei kusoma vikaratasi vilivyotayarishwa na poor speach writers.

Mengine ni:empathy: anaonyesha dhahiri kuwa matatizo ya watanzania hasa wa hali ya chini si tu yanamuuma bali anaonyesha dhamira ya dhati siyo chati kuyatafutia ufumbuzi kwa kupendekeza njia za kivitendo pragmatic na siyo myopic za kuyatatua.

Sense of patriotism: Anaonekana wazi anaithamini nchi yake kwanza na watu wake, na siyo kukumbatia na kusujudia wageni tu.
Kwa kifupi ametuonyesha tumaini jipya kwa kuwa wengi walishaanza kukata tamaa kuhusu mambo yanayoborongwa nchi hii.Tumuombe Mungu azuie jaribio lolote wa kuhujumu matokeo (kama lipo) ili umati wa watu unaojidhihirisha kwenye kampeni zake umpigie.Naamini kwa kupitia jemedari huyu (Dr Slaa) atatuwezesha WE AS A PEOPLE TO GET TO THE RIGHT DESTINY.
GOD BLESS TANZANIA.
 
Mungu ataleta mujiza kipindi hiki na pia atawalaani wale wote watakao chakachuo matokea ya urais
 
live interview yake ya hivi karibuni kwenye itv ni uthibitisho tosha wa hili ninaloandika.
 
alichonifurahisha pale, NO KUTUMIA VIBUTI KAMA MA ---DR WENGINE, YAAANI WA SISI
 
wakuu,
ni siku chache zimebaki watanzania tutakapopiga kura kuchagua viongozi wetu ( wawe watu au chama!)
ni wazi, kwa sasa kila mtanzania mwenye haki ya kupiga kura atakuwa ameshasikiliza sera za vyama mbali mbali katika kampeni zinazoendelea kwa sasa.
Baada ya kusikiliza kampeni za vyama mbali mbali, binafsi nimeona kwamba dr slaa anafaa kuwa rais wa nchi yetu.
Pengine mkuu yeyote anaweza kuniuliza ni kwanini. Majibu yako mengi lakini hasa; dr slaa-
  • ni mjasiri anayetetea maslahi ya taifa (sote tumeshuhudia bungeni).
  • anatoa matumaini kwa watanzania walio wengi kupitia sera ya elimu bure.
  • anaahidi vitu vinavyotekelezeka, mfano kupunguza kodi ya vifaa vya ujenzi.
  • tunamuamini tunamhitaji.
  • ongezea...!
kutokana na hayo, dr ws anafaa kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 31 oktoba, 2010.


Mungu ibariki afrika! Mungu ibariki tanzania!


Nawasilisha!!!

ogopa watu kama slaa wewe atakubadilikia ufe kwa presha akiingia madarakani loh..
 
Mungu atupe macho ya kuona na kutambua kisha tuchague kiongozi anayejali maslahi ya wananchi
 
Mungu atupe macho ya kuona na kutambua kisha tuchague kiongozi anayejali maslahi ya wananchi



kwa ngazi ya taifa, anayefaa si mwingine zaidi ya dk ws.
 
dr tsaaa hafai kuwa kiongozi wa nchi yoyote ile hasa yenye utajiri kama hii, Mang'ola ni mfano halisi wa nchi hii, kwani ina utajiri mkubwa sana wa ukulima wavitunguu, na wakulima ni matajiri, huyu mbunge wa hapo yaani tsaa,
hajaweza kuwasaidia wakulima hao kitu chochote kwamiaka 15ya ubunge, alihitaji kuwahamisisha tu wachange na yeye awasaidie kuleta umeme, na barabara ya kupitisa mazao ,tumeona kwa macho juzi kwenye ziara ya rais jk karatu,pia tumeonyeshwa kibanda cha udongo cha kwake lo raisi ambae hata Hawezi kubadili maisha yake kuwa bora atamuongoza nani. wakazi pale wengi wana nyumba nzuri ila yeye. m/kiti wa kijiji amekiri utendaji mbovU wa tsaa, na kurudisha card yy na wafuasi wake, hii ni kuthibitisha jinsi gani walivyocHoshwa na ahadi za uongo,
DR,TSAA HAFAI KUONGOZA HATA FAMILIA YAKE IWEJE ATUONGOZE SISI WATZ

 
dr tsaaa hafai kuwa kiongozi wa nchi yoyote ile hasa yenye utajiri kama hii, Mang'ola ni mfano halisi wa nchi hii, kwani ina utajiri mkubwa sana wa ukulima wavitunguu, na wakulima ni matajiri, huyu mbunge wa hapo yaani tsaa,
hajaweza kuwasaidia wakulima hao kitu chochote kwamiaka 15ya ubunge, alihitaji kuwahamisisha tu wachange na yeye awasaidie kuleta umeme, na barabara ya kupitisa mazao ,tumeona kwa macho juzi kwenye ziara ya rais jk karatu,pia tumeonyeshwa kibanda cha udongo cha kwake lo raisi ambae hata Hawezi kubadili maisha yake kuwa bora atamuongoza nani. wakazi pale wengi wana nyumba nzuri ila yeye. m/kiti wa kijiji amekiri utendaji mbovU wa tsaa, na kurudisha card yy na wafuasi wake, hii ni kuthibitisha jinsi gani walivyocHoshwa na ahadi za uongo,
DR,TSAA HAFAI KUONGOZA HATA FAMILIA YAKE IWEJE ATUONGOZE SISI WATZ




mkuu umesahayu baba wa taifa alijengewa nyumba na kukabidhiwa na jeshi letu mwezi mmioja kabla ya kifo chake.
au unataka tuamini, kama ilivyo ndani ya chama chako, kwamba ili uwe kiongozi ni lazima uwe tajiri?


ni wazi katika chama chako maskini hawana nafasi ya uongozi; lakini kwa upande wa chadema uongozi ni nguvu ya umma( people's power) na wala sio utajiri wa huyo kandidati.
 
ImageUploadedByJamiiForums1425113740.633152.jpg
Mwalimu nyerere alisha wahi kusema ukimtizama usoni ujiridhishe kama kweli anafaa.
Nimemtizama Dr slaa katika picha hii aliyopiga na Mwigulu nimejiridhisha huyu ni kiongozi na anatufaa watanzania.
Uso wake unahamasa ya maendeleo
Uso wake unaweza kukalipia
Uso wake unaweza kuwajibisha mtu
Uso wake haupendi rushwa
Uso wake na moyo vinashabiana
Huyu ndio kiongozi,Unaweza kuona nindhamu aliyonayo mwigulu hapo kwenye picha.Hata kabla ya Dr kuingia ikulu,Huyu ni kiongozi tena chaguo la mungu.
Tukichezea shilingi chooni tena mwaka huu watanzania tutakuja kujuta kwa miongo kadhaa
Muda wa mabadiliko ndio huu kiongozi ndio huyu tufanye maamuzi sahihi.
 
Njaa ya watanzania Ndiyo inayompa kiburi Lowasa. mwizi ni mwizi tu hata kama akiungama kwa papa. mtajuta watanzania. Najua Dr Slaa akishaingia ikulu cha kwanza anawafunga wezi wote wakiwemo waliotoa m 10 za mboga
 
Umenena kweli mkuu lakini ninachoamini nikwamba Dr anafaa sana tusuburi taratib za chama pia rais msuri anatoka kwenye tasisi imara kwani tasisi ndio umsimamia kikamilivu mtendaji wake
 
Back
Top Bottom