Dr Slaa ampigia mbuzi Gitaa

Joblube

JF-Expert Member
Mar 4, 2011
369
151
Nimesoma kwa makini majibu ya Dr Slaa kwa mwandishi Mayage S. Mayage mpaka jana kwenye Gazeti la Raia Mwema, kwa kweli Dr Slaa amemjibu kwa weledi mkubwa tofauti na mimi nilivyofanya huko nyuma kwa kweli nampongeza kwa kazi kubwa anayoifanyia CHADEMA na nchi kwa ujumla wake.

Binafsi mimi nilimshauri asihangaike kuwajibu watu wa aina ya Mayage kwa kuwa hawa wanakazi maalumu waliopewa na mabwana zao lakini baada ya kusoma makala za majibu ya Dr Slaa nadhani kuna haja ya kuendelea kutoa ufafanuzi wa aina ile hata kama ni ya mtu mjinga kama Mayage S.Mayage.

Pia namshauri Dr Slaa asikate tamaa kwa kuwa hoja yako kwa bwana Mayage ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa, kama hamuaminii subiri majibu ya huyu bwana huko tuendako.
 
Nimesoma kwa makini majibu ya Dr Slaa kwa mwandishi Mayage S. Mayage mpaka jana kwenye Gazeti la Raia Mwema, kwa kweli Dr Slaa amemjibu kwa weledi mkubwa tofauti na mimi nilivyofanya huko nyuma kwa kweli nampongeza kwa kazi kubwa anayoifanyia CHADEMA na nchi kwa ujumla wake.

Binafsi mimi nilimshauri asihangaike kuwajibu watu wa aina ya Mayage kwa kuwa hawa wanakazi maalumu waliopewa na mabwana zao lakini baada ya kusoma makala za majibu ya Dr Slaa nadhani kuna haja ya kuendelea kutoa ufafanuzi wa aina ile hata kama ni ya mtu mjinga kama Mayage S.Mayage.

Pia namshauri Dr Slaa asikate tamaa kwa kuwa hoja yako kwa bwana Mayage ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa, kama hamuaminii subiri majibu ya huyu bwana huko tuendako.

kwa kweli nimefurahi sana.Makala za PHD zimenifumbua macho sana.Kuna mambo nilikuwa siyajui.Hongera sana PHD Slaa
 
Acha Mayage apate malipo yake ya upotoshaji kwa umma.

mnafiki mkubwa huyu aliyesababisha magazeti ya RAI yachukiwe sana kwa kukumbatia mafisadi.Mtu anayejaribu kuua soko la gazeti la RAIA MWEMA kwa makala zake za kukumbatia mafisadi na kumshambulia yeyote anayepigama vita dhidi ya ufisadi
 
Nimesoma kwa makini majibu ya Dr Slaa kwa mwandishi Mayage S. Mayage mpaka jana kwenye Gazeti la Raia Mwema, kwa kweli Dr Slaa amemjibu kwa weledi mkubwa tofauti na mimi nilivyofanya huko nyuma kwa kweli nampongeza kwa kazi kubwa anayoifanyia CHADEMA na nchi kwa ujumla wake.

Binafsi mimi nilimshauri asihangaike kuwajibu watu wa aina ya Mayage kwa kuwa hawa wanakazi maalumu waliopewa na mabwana zao lakini baada ya kusoma makala za majibu ya Dr Slaa nadhani kuna haja ya kuendelea kutoa ufafanuzi wa aina ile hata kama ni ya mtu mjinga kama Mayage S.Mayage.

Pia namshauri Dr Slaa asikate tamaa kwa kuwa hoja yako kwa bwana Mayage ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa, kama hamuaminii subiri majibu ya huyu bwana huko tuendako.
kupitia majibu ya Mayage nimejifunza mengi mengi sana ambayo CDM inafanya; tupo wengi tu (kina Mayage) hatujui kwa kina ni yapi CDM inafanya; yapi yamefanikiwa kwa kiwango kipi na je challenges zipi chama kinakumbana nazo; wengi tunajua ya Udiwani Arusha na hili la mropokaji Shibuda; pamoja na suala la POSHO, ila yale ya ndani hasa mipango ya maendeleo na namna ya mkakati wa CHAMA hatujui; namna CHAMA kinavyoongoza halmashauri zake na baadhi ya kata hatujui.

Kwa mfano nimejifunza kumbe CDM wako tofauti kimkakati na vyama vingine katika kufungua office ya chama (matawi) kila kitongoji nchini; ni mengi tu tumejifunza. Nakuomba DR. kila ukipata fursa naomba uwe unakuandikia ili kupate kujua mengi yaliyomo ndani ya CDM; sisi si wavivu wa kufikiria kama Mayage kwa kukimbilia kutoa tamati bila tafiti la hasha- tunahitaji kujifunza mengi toka makala zako hasa unapowajibu watu kama hao wanaotaka kupotosha umma kwa ujira kiduchu.
 
kupitia majibu ya Mayage nimejifunza mengi mengi sana ambayo CDM inafanya; tupo wengi tu (kina Mayage) hatujui kwa kina ni yapi CDM inafanya; yapi yamefanikiwa kwa kiwango kipi na je challenges zipi chama kinakumbana nazo; wengi tunajua ya Udiwani Arusha na hili la mropokaji Shibuda; pamoja na suala la POSHO, ila yale ya ndani hasa mipango ya maendeleo na namna ya mkakati wa CHAMA hatujui; namna CHAMA kinavyoongoza halmashauri zake na baadhi ya kata hatujui.

Kwa mfano nimejifunza kumbe..........

FUSO,
Asante kwa kuongeza idadi ya Mashahidi wangu kwa hoja iliyopingwa sana nilipoandika Udhaifu wa Kitengo cha Habari na Uenezi ndani ya CDM. Naomba nisisitize tena na tena; Erasto Tumbo anapwaya sana katika Kurugenzii hii. Hivi kwa nini hawataki kusikia wala kuukubali UKWELI?
 
FUSO,
Asante kwa kuongeza idadi ya Mashahidi wangu kwa hoja iliyopingwa sana nilipoandika Udhaifu wa Kitengo cha Habari na Uenezi ndani ya CDM. Naomba nisisitize tena na tena; Erasto Tumbo anapwaya sana katika Kurugenzii hii. Hivi kwa nini hawataki kusikia wala kuukubali UKWELI?

nadhani Erasto Tumbo apangiwe kazi nyingine.Idara hii anatakiwa apangiwe kijana mchapakazi mtaalam wa social media nk. Wapo wengi wanaoweza hii kazi mfano Regia Mtema, Joshua Nassary nk
 
huwa sinunui ili gazeti 7bu Alhaji Membe kashalitia mfukoni. Mnaobisha msiwe na hara mtanielewa muda unavyozidi kuyoyoma

Sio wote wananunulika. Unatumia vigezo gani kusema wamenunuliwa, una ushahidi? Kama Mh. Membe kutokeza mara kadhaa na habari nzuri katika gazeti hilo ndo kununuliwa basi Dr. Slaa atakuwa kawalipa zaidi.
 
nadhani Erasto Tumbo apangiwe kazi nyingine.Idara hii anatakiwa apangiwe kijana mchapakazi mtaalam wa social media nk. Wapo wengi wanaoweza hii kazi mfano Regia Mtema, Joshua Nassary nk
mi siko huko mnakotaka kupeleka mada, point ni kwamba kama Mayange angetaka kufanya utafiti kwanza kabla yakuandika makala yake ya kuishutumu CDM ndani ya jamii kama si chama cha kuwavusha watanzania angepata hizi info. na hata hivyo Dr. katusaidia sisi wananchi wa kawaida kujua mengi kuhusu CDM. Hayo mengine ya idara ya habari mimi siyajui nafikiri DR. anaweza kuyafafanua endapo tutamwomba.

Point yangu ipo pale pale nimejifunza mengi kupitia makala hiyo ambayo nilitamani DR. awe anaandika katika kila toleo la gazeti hili kama ingewezekena kutolea ufafanuzi wa mengi ambayo wananchi wanapotoshwa.
 
Back
Top Bottom