Nimesoma kwa makini majibu ya Dr Slaa kwa mwandishi Mayage S. Mayage mpaka jana kwenye Gazeti la Raia Mwema, kwa kweli Dr Slaa amemjibu kwa weledi mkubwa tofauti na mimi nilivyofanya huko nyuma kwa kweli nampongeza kwa kazi kubwa anayoifanyia CHADEMA na nchi kwa ujumla wake.
Binafsi mimi nilimshauri asihangaike kuwajibu watu wa aina ya Mayage kwa kuwa hawa wanakazi maalumu waliopewa na mabwana zao lakini baada ya kusoma makala za majibu ya Dr Slaa nadhani kuna haja ya kuendelea kutoa ufafanuzi wa aina ile hata kama ni ya mtu mjinga kama Mayage S.Mayage.
Pia namshauri Dr Slaa asikate tamaa kwa kuwa hoja yako kwa bwana Mayage ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa, kama hamuaminii subiri majibu ya huyu bwana huko tuendako.
Binafsi mimi nilimshauri asihangaike kuwajibu watu wa aina ya Mayage kwa kuwa hawa wanakazi maalumu waliopewa na mabwana zao lakini baada ya kusoma makala za majibu ya Dr Slaa nadhani kuna haja ya kuendelea kutoa ufafanuzi wa aina ile hata kama ni ya mtu mjinga kama Mayage S.Mayage.
Pia namshauri Dr Slaa asikate tamaa kwa kuwa hoja yako kwa bwana Mayage ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa, kama hamuaminii subiri majibu ya huyu bwana huko tuendako.