Si usingizi, inaonekana kaishiwa kwa sababu habari zinaeleza kwamba alikuwa akikata mitaa kwenye viuga vya Dar.Atakuwa alipitiwa na usingizi....
porojo na umbea!
Hakuna cha excuse, kama aliahidi na hakufika then it is a bad sign... we want reliable leaders sio makamba style!!! I hope Dr. Slaa akakuja na clear clarification about this
bad stuff though
Atakuwa alipitiwa na usingizi....
Hakuna cha excuse, kama aliahidi na hakufika then it is a bad sign... we want reliable leaders sio makamba style!!! I hope Dr. Slaa akakuja na clear clarification about this
bad stuff though
Nimeona katika gazeti moja la kila siku. dk Slaa amekacha mjadala uliipangwa kufanyika hapa kwa kushirikiana na chombo kimoja kikuu cha habari yaani TBC1 katika kipindi cha JAMBO LEO.
Katika mjadala huo ambao Mukama alipanga hoja za msingi na kutaka kumuonyesha dk slaa kwamba anayozungumza mengi hafanyi utafiti.lkn pia kuzungumzia magaidi waliongizwa na CHADEMA IGUNGA na mengine mengi juu ya CHADEMA
katika hali isiyoyakawaida katika Chama cha chadema. Dk slaa amekacha mjadala huo.
Jee Dk slaa ameanza kuogopa mijadala ya wazi?
What next?
Futa huu upuuzi ulioletwa hapa.Please mods
Lazima unavizia ubwabwa mweupe sehemu! Leo ni Ijumaa lazima unyooshe mkono wa kulia.
Heshimu mawazo ya watu. Ikibidi wewe ndio ufutwe.
Dk. ndiye mzushi hawezi kukuahidi kuhudhuria akakacha.Dk hawezi kumkacha mzushi Mukama, atakuwa na strong reason for his absence, ngoja tumsubirie na majibu. Inteligensia yenyewe imemtenga Mukama kwa taarifa zake zisizo na tija.
Dk. Wilbroad Slaa ameingia mitini licha ya kuthibitisha kushiriki kwenye kipindi cha Jambo kinachorushwa na TBC1 ambacho kililenga kumkutanisha na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama. Wote walithibitisha kushiriki lakini ghafla Dk. Slaa akaingia mitini.