Dr. Slaa amfuata Lipumba

Dr. Slaa amfuata Lipumba

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
DSC099871.jpg
 
Nenda Dk. Slaa hakika utaishi ndani ya moyo wangu mpaka kufa kwangu, hakika wewe ni mwanasiasa pekee hapa Tanzania kuwahi kutokea ***Mungu akubariki Dk****
 
Analazimika kutojiweka mbele kwa sababu za kihistoria! Yeye ndiye alikuwa champion wa kumuondoa kwenye uwaziri mkuu baada ya kumwita majina yote machafu yaliyoko duniani sasa anapokuja kwetu tena lazima huyu WS ajiweke pembeni kiaina ila nachofahamu wote wanajenga nyumba moja
 
we mzee hakuna utakachoongea ukubalike,sisi tunataka mabadiliko sio kitu kingine.tunaakika umenunuliwa nendaaa salama.
uso wako na lipumba sijui mtaweka wapi ukawa wakishinda.
 
Kama ni hivyo basi na aende zake sisi haturudi nyuma. Huku kanda ya ziwa tumeshaamua tayari ni lowasa tu kwani magufuri hawezi ndani ya mfumo wa kijizi na kulindana na pengine tungesema labda kama kuwa na Rais au waziri mkuu ni faida mbona nyerere ametuacha vibaya au hata alikotoka pinda au sumayi kote choka mbaya bora Kwa lowasa monduli kidogo pameendelea. Urais wa magufuri ni wa kwake, Familia yake na wezi wenziye haupati ng'o mambo yote Kwa lowasa.
 
Nipo Arusha.

Mbona mie kiherehere ila iyo fweza za za EL hazijanifikia?

Ccm kwa nyomi za EL wanaanza ku_pre empty.

Arusha ni nyumbani kwa LOWASSA.
 
Hiki ndio kipindi cha magazeti kupiga pesa kwa kutumia headlines za kutunga
 
Back
Top Bottom