Dr. Slaa akosa dhamana, kupelekwa Kisongo?

Dr. Slaa akosa dhamana, kupelekwa Kisongo?

Status
Not open for further replies.

Kiranja

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2007
Posts
751
Reaction score
337
Kwa mujibu wa mambo yanavyokwenda kwenye mahakama ya hakimu mkazi wa Arusha ni kuwa Dr. Slaa anaelekea kukosa dhamana na hivyo itamlazimu kupelekwa gerezani Kisongo, ili akakutane na Lema huko.

Ntawajuza nini kinaendelea soon

=======

UPDATE:

Wamejitokeza watu kuwadhamini Slaa na Lissu, hawajulikani. Bado tunafuatilia kujua wametokea wapi
 
kikwete anapelekwa gerezeni kweli tanzania ya amani
 
Kwa mujibu wa mambo yanavyokwenda kwenye mahakama ya hakimu mkazi wa Arusha ni kuwa Dr.Slaa anaelekea kukosa dhamana na hivyo itamlazimu kupelekwa gerezani Kisongo , ili akakutane na Lema huko .

Ntawajuza nini kinaendelea soon
A bunch of wrong moves,nchi isipokombolewa sasa haitakaa ikombolewe tena.

Lets see people's reaction.
 
Hahah...kaona Lema anampoteza kwenye siasa!
Kaona naye aige...
Kweli magwanda wamekosa mbinu mpya
 
THIS WILL BE ANOTHER ccm MISCALCULATION!- - - - KWA AKILI YA KAWAIDA UNADHANI INAWEZEKANA KATIBU MKUU WA CHAMA KIKUU KAMA CHADEMA AKOSE MTU WA KUMDHAMINI???

KWANZA KWA NAFASI YAKE PEKEE HAITAJI KUDHAMAINIWA!!!!

MAGAMBA YANAJIMALIZA!
 
Some thing is going to happen in this country
 
Kwa mujibu wa mambo yanavyokwenda kwenye mahakama ya hakimu mkazi wa Arusha ni kuwa Dr.Slaa anaelekea kukosa dhamana na hivyo itamlazimu kupelekwa gerezani Kisongo , ili akakutane na Lema huko .

Ntawajuza nini kinaendelea soon
Hivi hizi mahakama zinafanya kazi mpaka huu mda? mbona kawaida ni saa9:30 au kipindi hiki wanalipwa Overtime kwasababu kuna kazi maalumu ya CCM?
 
Nakwambia mkuu nipo serious serikali isipo tumia busara lolote linaweza kutokea hapo arusha.Damu inaweza kumwagika na yale yaliyotokea kule nchi za uarabuni yanaweza yakatoke tena.
 
Bado mpaka sasa majira ya saa 11:21 mahakama inaendelea na hajapata dhamana , ntawajuza zaidi soon , stay tuned.
 
i hate to tell you that more blood is to spill b4 tomorrow afternoon. i hate wats happening. the goverment continues doing stupid moves, police themself are about to loose life.
 
THIS WILL BE ANOTHER ccm MISCALCULATION!- - - - KWA AKILI YA KAWAIDA UNADHANI INAWEZEKANA KATIBU MKUU WA CHAMA KIKUU KAMA CHADEMA AKOSE MTU WA KUMDHAMINI???

KWANZA KWA NAFASI YAKE PEKEE HAITAJI KUDHAMAINIWA!!!!
MAGAMBA YANAJIMALIZA!

Viapo vya Polisi kuhusu hali ya usalama vinaweza kuzuia dhamana..hii hata kama mdhamini yupo. Anyway,nadhani wafanye tu kama alivyofanya mwenzao Lema, kujitoa muhanga.
 
Kwa mujibu wa mambo yanavyokwenda kwenye mahakama ya hakimu mkazi wa Arusha ni kuwa Dr.Slaa anaelekea kukosa dhamana na hivyo itamlazimu kupelekwa gerezani Kisongo , ili akakutane na Lema huko .

Ntawajuza nini kinaendelea soon

Kama bado hujapata habari kamili kwa nini unaweka hiyo title? Umeandika kama vile uamuzi umeshatolewa. Nina wasiwasi na "ukiranja" wako maana utakuwa unaandika majina kabla watu hawajapiga kelele we ushayapeleka kwa ticha - kuwa yaelekea watapiga kelele.
 
Acha kuzusha habari, hakuna aliyekosa dhamana wewe!!
 
Hivi inteligensia ya Polisi haijui kuwa Arusha (na kwingineko) watu wanamiliki silaha kihalali na isivyo halali? choko choko za hivi ndizo zitakazo pelekea matumizi ya zana hizo. Shauri yao maana yatokeapo hayo target zinajulikana ni zipi.
 
Hivi hawa wana akili kweli? Katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani anapelekwa gerezani. ngoja waendelee kuongeza hasira zetu tutaona nani atashinda dhidi ya dora na nguvu ya umma.
 
hakuna ulichojuza kwasababu unasema Dr akosa dhamana apelekwa kisongo alafu unasema inavyoelekea atakosa dhamana.tulia mpwa tuliza masaburi utoe habari kamili kama amepata dhamana au lah sio kua na mzuka wa kujuza upuuzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom