Kwa mujibu wa mambo yanavyokwenda kwenye mahakama ya hakimu mkazi wa Arusha ni kuwa Dr. Slaa anaelekea kukosa dhamana na hivyo itamlazimu kupelekwa gerezani Kisongo, ili akakutane na Lema huko.
Ntawajuza nini kinaendelea soon
=======
UPDATE:
Wamejitokeza watu kuwadhamini Slaa na Lissu, hawajulikani. Bado tunafuatilia kujua wametokea wapi
Ntawajuza nini kinaendelea soon
=======
UPDATE:
Wamejitokeza watu kuwadhamini Slaa na Lissu, hawajulikani. Bado tunafuatilia kujua wametokea wapi