Dr. Slaa akinywa kahawa na Binti wa Kiarabu..

Mu-iraqw!!

Hata ulitie madoido linabaki kuwa kama nilivyosikia, mu Iraq. Ukimfatilia nasaba yake unaweza kukuta ana udugu na Saddam Hussein.

Tena hao wa Iraq"w" ni waarabu kabisa. Kwa hiyo hapo yupo nyumbani kabisa. Mwacheni akumbuke gahwa na tende.
 
Tena hapo inaonesha kuna kabinti kingine kakiarabu ndio kalinyanyuka kupiga picha.
 
Hata ulitie madoido linabaki kuwa kama nilivyosikia, mu Iraq. Ukimfatilia nasaba yake unaweza kukuta ana udugu na Saddam Hussein.

Tena hao wa Iraq"w" ni waarabu kabisa. Kwa hiyo hapo yupo nyumbani kabisa. Mwacheni akumbuke gahwa na tende.

safi sana......uko sahihi kabisa
 

Vyovyote iwavyo,ila likisikika jina hilo tunajua ni mtu wa watu!!!Dr. kunywa chai upumzike
 
Dr. Slaa hawezi kuvaa nguo ya rangi sawa na nzi wa Chooni-ni MWIKO bin BOKO KHARAM!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…