DR. SLAA Akikabidhiwa Jezi ya CCM

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
734
Hii ni picha yangu ya mwaka juzi 2010

3.jpg
 
Kwa kawaida, kama ulikuwa mganga wa kienyeji, halafu ukaokoka, ile mitunguli yako, shuka jekundu, ngozi na kila takataka ya kufanyia uganga unaikabizi kwa mchungaji ili ichomwe moto. Ndio shughuli iliyokuwa inaendelea hapo.
 
Anajivua gamba hapo anakabidhi vitu vya magamba kwa dr slaa kwa ajili ya kuchomwa moto
 
Back
Top Bottom