Dr Slaa aizika CCM Tunduma

Greenwhich

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
1,337
Reaction score
968
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa anaanza ziara rasmi ya kichama leo katika wilaya za Momba na Mbozi.Dr Slaa anaingia Tunduma akitokea Zambia alikokuwa takribani wiki moja kwa ziara ya kikazi.

Kiongozi huyo mwenye mvuto mkubwa wa kisiasa nchini leo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Tunduma katika viwanja vya shule ya msingi Tunduma.

Kesho Dr Slaa atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Vwawa katika wilaya ya Mbozi.

Dr Slaa anatarajiwa kupokea maelfu ya wanachama wapya wengi wao wakitokea CCM. Pia Mwanasiasa huyo asiyeyumba atazindua matawi kadhaa ya CHADEMA na kufungua ofisi mpya za chama hicho.

Katika ziara hiyo Dr Slaa atafuatana na maafisa kadhaa wa makao makuu,maafisa wa Kanda ya nyanda za juu kusini na Mbunge wa Mbozi David Silinde.

Kwa wiki hii nzima hapa Tunduma kuna hekaheka kubwa ya wananchi wakiwa na hamu kubwa na ujio wa Dr Slaa. Pia Polisi wanahaha kupiga doria huku na huko wakijipanga kusimamia usalama wakati wa mapokezi yake kwani sikuzote mapokezi ya kiongozi huyo hapa Tunduma yanautikisa mkoa mzima. Dr Slaa anachukuliwa na wananchi wa hapa kama Mfalme wa Tunduma.

==============================
Up dates baadhi ya maneno ya Hotuba
==============================
============
Updates katika picha:
 

Attachments

  • zzzz.jpg
    48.5 KB · Views: 848
  • zxzxzx.jpg
    38.6 KB · Views: 7,014
  • zaza.jpg
    36.3 KB · Views: 2,466
Nawatakia kila la kheri kwenye mkutano wa leo na itakayofuata,picha muhimu.
 
Tahadhari, mwe waangalifu na vijana wa UVCCM wanaweza valishwa magwanda wakaleta vurugu ikaonekana ni CHADEMA, na hapohapo zikafanyika vurugu mlengwa akiwa Dr. Slaa, kwani huyu jamaa magamba ni kama wanamuombea mabaya siku zote, kwahiyo chukueni tahadhari zote.
 
Kila la heri, ila amani iwe mbele hasa kipindi hiki .
 
Ukombozi lazima uje!! Dr. ongoza gari letu katika njia sahihi. CCM fainali uzeeni 2015
 
Chadema mnapenda habari nzuri nzuri kuhusu nyie.duh!

Ni haki yao Mkuu; sidhani kama kuna binadamu yeyote mwenye akili timamu anayependa habari mbaya. By the way, hivi tukiwa-rank, ni Katibu Mkuu yupi anashika nafasi ipi kwa uongozi mahiri ndani ya vyama vyao?

1. Col. Abdulrahmani Kinana (CCM)
2. Maalim Seif Sharif Hamad (CUF)
3. Sam Ruhuza (NCCR-Mageuzi)
4. W. P. Slaa (Chadema)
5. General Secretary Emeritus Nnape Nnauye (CCJ/CCK)
6. xxx (UPDP)
7. xxx (UMD)
8. xxx (Tadea)
9. xxx (NRA)
10. xxx (TLP)
11. xxx (ADC)
12. xxx (UDP)

Hebu tupe maoni yako hapo.
 

Acha kuharibu sred ya mwenzio Kwa Kuanzisha nyingine.. Vilevile huwezi kumchanganya Slaa Na Kundi la Madudedude tia heshma mkuu..

Slaa ni Mtu mwenye heshima zake Ndani Na NJE ya uzio Wa mipaka ya Nchi yetu. Wewe dudus Mtu akikuchanganya Na mavi utafurahi..? Acha ivo bana
 
Last edited by a moderator:

Ndugu yangu dudus hapa umeua kabisa..
 
Last edited by a moderator:
Kila lakheli dr slaa wewe ndio mkombozi wetu hata wanaokuchukia ipo siku watakupenda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…