Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,549
- 21,676
niliona interview yake moja anasema alikuwa kidume kweli kweli ana watoto karibia nchi tano ikiwemo us, russia na italy. sina hakika kama hizo familia zinamtambua.
Mkwepa Kodi una tatizo gani brother kabla la Dr. SHIKA lina uhusiano gani na ugonjwa wake?!Ni mhaya
Akienda tu jamaa anakata moto soon.Najiuliza mpaka sasa kwa nini Jiwe hajaenda kumuona msukuma na PhD holder mwenzake
Mbona Kigwangallah hakusepa tena yeye alimpokea airport kabisaAkienda tu jamaa anakata moto soon.
Yaani bora atoroke hata hiyo hospitali akisikia huyo mtu anaenda kumjulia hali maana ni mchomoa betri asiye na mzaha.
"Proudly, brought to u by Bachelor Sugu"
Hapo ndio utamkubali kabudi kuwa alikuwa jalalani na PhD yakeNilifuatilia interview yake anasema eti hawezi kwenda hospital eti hawapo vizuri. Yeye yupo competent kuliko wao.
Nilimshangaa yaani huyu anaabisha sana mtu msomi hata pa kulala hana. Sijui what went wrong hadi akajikuta alivyo leo. Any way augue pole.
N.B kumbe wewe ni mweupe kama mzungu. Haya bwana.
Sasa huyo si mwanae?halafu kibaya zaidi mwanae mwenyewe nae sio mwepesi ni fundi yaani mtundu km wasemavyo watoto wa mjini.Mbona Kigwangallah hakusepa tena yeye alimpokea airport kabisa
Nasikia anawatoa wanae kafara ili aendelee kungaa kisiasa hii niliitoa kwa kigogo2014Sasa huyo si mwanae?halafu kibaya zaidi mwanae mwenyewe nae sio mwepesi ni fundi yaani mtundu km wasemavyo watoto wa mjini.
"Proudly, brought to u by Bachelor Sugu"
Eti mpaka sasa hakuna ndugu yake aliyekwenda kumtazama
mapambano yanaendelea tuombeaneShika yumo humu 900 Inapendeza zaidi
Weka picha yako hapa kidogo tuoneVictoire, wewe ni mweupe kama mzungu. Haya bwana.
Hahaaa hapana yani ngozi yangu ina weupe fulani kama watu wa Zanzibar. Nakumbuka siku moja nipo kwa ki super market nanunua zangu vinywaji akaja boya mmoja amelewa aisee nilikuwa counter nalipia alinipiga kumbo hilo...Halafu hata mwenye counter hakumsemesha chochote.
DuhWeka picha yako hapa kidogo tuone